Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kiwanja namba 79 block uu" Eneo stand mpya maisaka katani. Ukubwa 40m kwa 30m =1200m squares Bei=milioni 2 unaweza tanguliza milioni 1 halafu inayobaki tutakubaliana namna ya kulipa. Ambaye yupo...
2 Reactions
2 Replies
656 Views
Habarini wana jamvi. Naomba kujua kwa Dar es salaam duka wanalouza, vitabu aina ya. 1. Personal finance 2. Self growth 3. Economics 4. Leadership and management 5. Psychology Kwa bei ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salamu kwenu nyote Nauza nazi kwa bei ya jumla, Tshs 400 kwa nazi Moja Minimum package ni nazi 250. Napatikana Tanga (Muheza), Hivyo basi nakuletea nazi hadi stendi ya Muheza.(Hapa utachangia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ram za 8gb zipo katika hali nzuri kabisa zenye spidi ya 12800u. Bei ni Tshs 80,000. Napatikana Sinza Dar es Salaam. Namba ya mawasiliano ni 0672037238
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini Wadau Nina hitaji kununua hii simu kutoka kwa Muuzaji yeyote aliyepo Dar, iwe Mpya Kabisaa. Mimi nipo mkoa tofauti na DAR. Lengo hapa nikujua ni Muuzaji gani naweza kumtafuta instagram...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mhandisi ujenzi Gideon, usajili namba 13098, na mmiliki wa kampuni ya Kabyex Engineering Company Limited. Tunatoa huduma za ujenzi kwa gharama nafuu 1. Ramani za ujenzi Structural and...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wadau Nauza air condition mpya kabisa, sealed in box Bei ya kuuza ni laki tano fixed ( haipungui kiasi chochote) mimi nilinunua laki 7, risiti ipo Brand ni BRUHM Nilinunua kwa ajili ya...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Muheza/Magira 0788 622 610. Vifaa vyote ni vipya na one year warranty Comment unachokitaka nikutajie bei.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Kwa huduma za ushauri, makadirio ya kodi za mamlaka ya mapato(tra) kupitia mfumo wao wa e-filing na uandaaji wa taarifa za kihasibu ili kujua mapato na matumizi pamoja na faida/hasara. Piga/Sms...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari karibuni tumeshusha mzigo wa tracksuits za watoto jumla na reja reja mzigo upo wa kutosha kabisa Material ya tracksuits Ni 100% cotton✓ Umri Ni kuanzia miaka 4 Hadi 12✓ Bei ya jumla Ni...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vipo vimepimwa na vina vibali vyote viwanja vipo maeneo ya kibada ni sehemu nzuri sana ni maeneo ambayo yameanza makazi ambapo kumejengwa nyumba kwa mpangilio mijengo ya maana hata masaki...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
GREAT DISTRIBUTION AND MARKETING SERVICES iliyopo Arusha inanunua mayai kwa bei ya 5500 kuanzia trei 100. Tupo Arusha Mjini Kama una mayai wasiliana kwa namba zifuatazo 0622887399 au...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari jipatie tshets za watoto kuanzia umri wa miaka 2 Hadi miaka 10 Tshets zipo desgn tofauti tofauti Bei ya jumla kuanzia PC 10 Ni sh 5,500/= kwa Tshet moja Zinapatikana kariakoo Dsm mtaa wa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda simu hiyo ambayo ni tolea jipya la itel A37 ambayo...
11 Reactions
78 Replies
10K Views
Wanabodi, Naomba msaada wenu kujua mahali naweza nunua hizi saving dishes. Hizi za mstatili (rectangles). Na hiyo ya round. Nakaribisha maoni.
0 Reactions
2 Replies
934 Views
Somo letu la Leo tutazungumzia Jinsi ya kuandika matangazo yenye mvuto. Kwa hivyo kama unafanya biashara, unauza bidhaa au unatoa huduma, labda umeshawahi kujaribu kuandika matangazo lakini...
9 Reactions
10 Replies
12K Views
TOYOTA IST #SILVER YEAR 2005 AUTOMATIC 5 SEATS CC 1290 KM 50000 BEI TSHS MIL 12 negotiable CONTACT CALL 0625554142
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Perfume moja 30000 Vyombo kimoja 5000
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Back
Top Bottom