Kiwanja namba 79 block uu"
Eneo stand mpya maisaka katani.
Ukubwa 40m kwa 30m =1200m squares
Bei=milioni 2 unaweza tanguliza milioni 1 halafu inayobaki tutakubaliana namna ya kulipa.
Ambaye yupo...
Habarini wana jamvi.
Naomba kujua kwa Dar es salaam duka wanalouza, vitabu aina ya.
1. Personal finance
2. Self growth
3. Economics
4. Leadership and management
5. Psychology
Kwa bei ya...
Salamu kwenu nyote
Nauza nazi kwa bei ya jumla, Tshs 400 kwa nazi Moja
Minimum package ni nazi 250.
Napatikana Tanga (Muheza), Hivyo basi nakuletea nazi hadi stendi ya Muheza.(Hapa utachangia...
Habarini Wadau
Nina hitaji kununua hii simu kutoka kwa Muuzaji yeyote aliyepo Dar, iwe Mpya Kabisaa. Mimi nipo mkoa tofauti na DAR. Lengo hapa nikujua ni Muuzaji gani naweza kumtafuta instagram...
Mhandisi ujenzi Gideon, usajili namba 13098, na mmiliki wa kampuni ya Kabyex Engineering Company Limited. Tunatoa huduma za ujenzi kwa gharama nafuu
1. Ramani za ujenzi Structural and...
Habari wadau
Nauza air condition mpya kabisa, sealed in box
Bei ya kuuza ni laki tano fixed ( haipungui kiasi chochote) mimi nilinunua laki 7, risiti ipo
Brand ni BRUHM
Nilinunua kwa ajili ya...
Kwa huduma za ushauri, makadirio ya kodi za mamlaka ya mapato(tra) kupitia mfumo wao wa e-filing na uandaaji wa taarifa za kihasibu ili kujua mapato na matumizi pamoja na faida/hasara.
Piga/Sms...
Habari karibuni tumeshusha mzigo wa tracksuits za watoto jumla na reja reja mzigo upo wa kutosha kabisa
Material ya tracksuits Ni 100% cotton✓
Umri Ni kuanzia miaka 4 Hadi 12✓
Bei ya jumla Ni...
Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.
Viwanja vipo vimepimwa na vina vibali vyote viwanja vipo maeneo ya kibada ni sehemu nzuri sana ni maeneo ambayo yameanza makazi ambapo kumejengwa nyumba kwa mpangilio mijengo ya maana hata masaki...
GREAT DISTRIBUTION AND MARKETING SERVICES iliyopo Arusha inanunua mayai kwa bei ya 5500 kuanzia trei 100.
Tupo Arusha Mjini
Kama una mayai wasiliana kwa namba zifuatazo 0622887399 au...
Habari jipatie tshets za watoto kuanzia umri wa miaka 2 Hadi miaka 10 Tshets zipo desgn tofauti tofauti Bei ya jumla kuanzia PC 10 Ni sh 5,500/= kwa Tshet moja
Zinapatikana kariakoo Dsm mtaa wa...
Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda simu hiyo ambayo ni tolea jipya la itel A37 ambayo...
Somo letu la Leo tutazungumzia Jinsi ya kuandika matangazo yenye mvuto. Kwa hivyo kama unafanya biashara, unauza bidhaa au unatoa huduma, labda umeshawahi kujaribu kuandika matangazo lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.