Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Haina tatzo lolote iko poa 30gb 40x optical zoom na chaji yake pia ipo Bei Tsh 110,000//=
0 Reactions
2 Replies
447 Views
Unakosaje Huduma bora na uhakika wahi sasa Von Hotpoint Cooker - Stainless Steel Price Tshs 650,000/= #Product Features . 3 Gas Burner and 1 Electric Cooker [emoji830]Electric oven and grill...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ofa ofa tshs 30,000 na 25,000 tu kwa sqm moja Viko: mbezi msakuzi Mahali: msakuzi kwa lipe. Umbali mita 500m mpaka masakuzi center pia kutoka msakuzi mpaka njia panda ya goba na makabe 4km...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa huduma za kihasibu na makadirio ya Kodi za TRA kupitia mfumo wa e-filling usisite kuwasiliana nasi For more information: P.O. Box: 2513 - Dar es Salaam, Tanzania Call/WhatsApp: +255 (0)713...
0 Reactions
2 Replies
607 Views
Hili Shamba lipo Inje kidogo ya Mji wa Vikindu-Mkuranga. Siyo Mbali kutoka barabara ya Kilwa. Kutoka Vikindu kwenda Mbagala nahuri ya Daladala ni Tsh 400, k-koo nahuri ni TSH 600. Kwahiyo siyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hili Shamba lipo Inje kidogo ya Mji wa Vikindu-Mkuranga. Siyo Mbali kutoka barabara ya Kilwa. Kutoka Vikindu kwenda Mbagala nahuri ya Daladala ni Tsh 400, k-koo nahuri ni TSH 600. Kwahiyo siyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba mpya yenye Chumba kimoja masta pamoja na sebule. Mahali: Mbezi Juu, Njia ya Goba, kituo cha tatu kutoka masana hospital.. Bei Tshs 150,000 kwa Mwezi. Maji ya dawasa yapo, umeme luku wawili...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili ) Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu. Piga 0742141467 Bei Tshs 100,000 Maelewano yapo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nyumba ina vyumba 2 kimoja ni masta, pamoja na sebule, jiko, choo cha wageni. ~ Nyumba ipo karibu na barabara, dakika tano kwa mguu hadi kituoni. Ina eneo la kuegesha gari, huduma ya maji dawasa...
0 Reactions
0 Replies
525 Views
Naomba msaada wapi nitapata Camcorder na accessories kwa ajili ya Live streaming.
0 Reactions
5 Replies
928 Views
Napatikana mbezi beach africana Tuwasiliane wasap 0742537423 Kitanda 6x6 250k Godoro 6x6 230k QFL Kabati. 300k Friji 300k Aborder smart Tv 300k Redio 220k Showcase 300k Kochi 450k Meza 100k...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Wakuu habari poleni na majukumu Moja kwa moja kwenye uzi ama jukumu la hii post Ifuatayo ni samsungA30 inauzwa, iko clean na haina tatizo lolote Specs ni kama ifuatavo: 64 gb storage 4gb Ram...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Amani kwenu wana Jamvi Rejea the heading above Niende direct kwenye mada mie nahitaji Business Plan na Memorandum Articles of Association ya Kampuni. Kwa maelezo zaidi tukutane PM N.B Uwe ni...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Habari wakuu, Katika harakati za kutafuta maisha nimeamua kufanya biashara ya kupika na kuuza mikate. Kama mnavofahamu Mifuko imepigwa marufuku ,hivyo ili kufunga mikate inatakiwa ile Mifuko...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wandugu, Nauza makochi yaliyotumika (3-seater na 2-seater) ya ngozi nyeusi. Bei laki 4 elfu 50. Makochi yanayo mito ya ziada ya chini ambayo nimeyahifadhi. Yanapatikana Mbweni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri. Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/= Tunapatikana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu mawasiliano yangu ni 0718151415. Bei milioni moja na laki mbili maongezi yapo. Karibuni sana
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Contempo.(hiden roof) ni mtindo mpya wa ujenzi wa nyumba Tanzania lakini wengi wanaishia kupata hasara kwasababu wanajenga bila kua na michoro ya kitaalamu hivyo zinaishia kuvuja. Ili ujenge...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Kazi; kutafuta wateja na kutangaza tiba ya meno , haswa mtandaoni. Sehemu ya kazi: Korogwe Tanga Mshahara: 200000/= , na commission za mauzo ya kila siku Elimu: awe na elimu ya chuo kikuu ...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jipatie Time attendance device kama kihakiki cha mahudhurio ya wafanyakazi kiwandani, ofisini mahotelini nk, na hata mashileni. Rahisi kutumia. Ina back up Battery kama umeme umekatika, unaweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom