Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.
Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama...
Toyota HARRIER [D.J.M]
Year : 2006
Capacity : 2360cc
Mileage : 89,000kms
Price : 17.5M
Location: Mbezi Beach
Call : 0717436363
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)
Debe la mahindi utapata KWA 8500
Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.
Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.
Ila ofa hii ipo KWA kipindi...
Hello jf
Kwakuwa tunapaswa kuishi kwa kuendana na alama za nyakati basi kama wewe ni mmliki au mbeba maono ya taasisi fulani ( kanisa, msikiti, chama,kikundi, jumuiya)
Ni wakati sasa uweke...
Kwa yeyote aliye interested nauza infinix hot 9 haina shida yoyote ni used ikifika tarehe 16/04/2021 inafikisha mwezi nina uhitaji wa hela. Ram 4gb na internal memory ni 64gb. Napatikana Singida...
Inaitajika gari ndogo ya kukodisha IST, Noah, Runx, Spacio n.k
Shughuli za kiofisi. Ofisi ipo magomeni.
Malipo kwa kila week.
Mkataba wa mienzi mitatu hadi sita.
Mafuta na service za gari ni...
Chumba kimoja, Choo cha nje.
------------------------
Maji ya dawasa, Umeme Luku yakuchangia, Uzio na usalama Upo.
------------------------
Bei Tshs 50,000 Kwa Mwezi
Kodi ya Miezi 6...
Husika na kichwa hapo juu Mimi mdau wa zana za kilimo ninauza tractor aina new Holland HP 95 IPO vizur kabisa ( mpya) ninapatikana mbeya
Bei ml 35 pamoja na jembe lake disc 4
Sent using Jamii...
Chumba na sebule, Choo cha nje.
Maji ya dawasa, Umeme Luku wawili, Maegesho ya gari ipo, Uzio na usalama Upo.
Bei Tshs 100,000 Kwa Mwezi
Kodi ya Miezi 6
Wasiliana nasi: 0686648630 | 0716442950
Wafugaji wengi hasa kwenye ufugaji wa kuku iwe kutaga au wa nyama changamoto kuu zipo mbili magonjwa na kuibiwa kuku wako hata kama idadi uliifahamu,
Sababu kuu ni kuwa control vijana na hata...
Shamba linauza,lipo chalinze pwani
Lina ukubwa wa heka 40 na kila heka moja inauzwa 1,500,000
Lipo umbali wa km6 kutoka morogoro road na huduma ya umeme ipo
📞 0719805851
habari,
Naomba kujua wapi nitapata dagaa wa chumvi waliokatwa vichwa maarufu kama dagaa wa nyama kwa ajili ya biashara. Wapi nitapata kwa bei nzuri na mi nkauze nipate vihela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.