Habari!
Natafuta hilo jiko ambaye anauza tunaweza fanya biashara.
Pia kama kuna mtungi wa gesi hii mikubwa nao nahitaji.
Mawasiliano 0743451357.
Hata ukinisaidia connection jinsi ya kuyapata...
Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
Habari wadau, tunawapenda kuwaalika watu wote wanaohitaji huduma ya usafi majumbani, maofisini pamoja na kunyunyizia dawa wadudu wasumbufu kama vile mende, mchwa, kunguni, mbu, nyoka nk...
Hello JF.
Karibu tukuhudumie katika
Mahitaji ya kununua Nyumba katika maeneo mbalimbali ya jiji kama igoma nyegezi kisesa n.k
Kununua viwanja na mashamba ndani ya jiji la mwanza sehemu kama...
Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
Kiwanja kizuri sana, Kipo Goba inayopakana na Madale/Mivumoni
Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking)
Bei - Tshs...
Helow friends,
Poleni kwa uchovu na hongereni kwa kuianza weekend.
Kwa wale wanaoanza maisha leo nataka kukueleza vitu vichache tu; najua huwezi kuanza maisha bila vyombo kuna rangi chache ni...
Chumba kimoja cha kulala pamoja na sebule.
Eneo: Mbezi Beach
Bei Tshs 100,000/Mwezi
Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 2 kutembea kwa mguu.
Tuwasiliana...
pata huduma za kuprint kwa bei nafuu
colour printing a3 1000-hii ni full colour kwa karatasi yoyote ,gross 300-150.mate paper
film kwa ajili ya ramani ni .
A3 tsh 1500,
a4 tsh 800
colour a4...
Nauliza wapi wanapotoa Copy kwa bei rahisi DSM Tshs 30 mpaka 25.
Nasikia maeneo ya karibu na taasisi za kielimu i don't have ideas anapajua anipe Address.
Habari wadau.
Kama Kuna yeyote mwenye platform ambayo shule inaweza kutumia kwa kutuma mitihani online kwa wanafunzi wake kipindi Cha likizo, tafadhali anijuze.
Cha msingi sana,
Mwanafunzi awe...
Laptop inauzwa. Toshiba Satellite C650
Ram : 3gb
Processor: Intel (R) core i3 , 2.27 gHz
Window 10
Bei: Laki mbili na elfu ishirini (250,000)
Mahali : Kigamboni
Sababu ya kuuzwa: Matatizo ya...
Samsung s6 edge
Ina crack mbele ambazo hazina madhara
Hazionekani sana
Camera safi
Fingerprint
Face unlock
Rom 32
Location: Dar Kimara-Suka
Price : 170k
0654224700
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)
Debe la mahindi utapata KWA 8500
Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.
Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.
Ila ofa hii ipo KWA kipindi...
Bado tunasisitiza UBORA NI KIPAUMBELE KWETU. Karibu Ujipatie Business Cards (Plastic Material) zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu sana. 30,000/= per 50 Pcs.
Tunapatikana Dodoma lakini...
Habari,
Nauza gari Aina ya Toyota Verossa number DAK haina tatizo lolote unawasha gari na kwenda safari kokote, gari ni yangu mwenyewe nauza ili nibadilishe au pia tunaweza kubadilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.