Wilaya za Karagwe na Kyerwa sasa wananchi wamekuwa maarufu kwa kilimo cha chia,soko ndo limeanza kuwa tatizo kwa wale ambao mnahitaji chia kilo moja ni tsh 15,000/=tuwasiliane kwa namba 0622 296251
Habari za leo wakuu,
Kama nilivyo ahidi kwamba bado naendelea na mradi wa uchoraji wa ramani. Ambapo nimefanikiwa kuchora ramani za nyumba 20 mpaka sasa.
Na hii ni moja ya nyumba moja ambayo...
habari naitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu na sebule
chumba kimoja master then public toilet
kiawanja ni sq 15/15
kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo
pia nipate kujua vifaa na...
Eneo la ukubwa wa ekari 10 Kibaha kwa Mathias Msangani Km sita toka Morogoro Road. Limepimwa.
Kila eka moja milioni sita.
Zuri kwa makazi, kilimo, ufugaji, kujenga shule n.k.
Mawasiliano...
Nauza PC Hp imenunuliwa mwaka 2019
Ram 4 GB , Processor Intel core (Tm i5-421ou CPU @ 1/70 GHz
ROM 500GB
Ina matatizo ya betr ila ukitaka na betr yake mbovu bei ni 300,000 ila ukitaka pia...
Crown
Bmw series 3 ya mwaka 2006
Mercedes Benz c-class ya 2006
Kama utakua na moja kati ya hayo njoo inbox tuyajenge.....
NOTE: offer ni ya uchumi wa kati 10m, lakini ntaongeza kama gari ni kali
Wana jamii Tafadhali Nilikua nahitaji kama kuna mtu anaefahamu Bei ya Zile rangi kwaajili ya kuprint T shirt, na kama atakua anajua mahali zinapopatikana, pamoja t shirt plain zenye bei rahisi...
Habari I wana JF kama heading hapo ninapenda kujua gharama za kukodi ndege ndogo kwenda Zbar or any where mkoani. Kwa mnaofahamu gharama zikoje na makampuni gani ya natoa huduma hizo!
Naomba kujuzwa.
Habari wapendwa tunauza vyombo vya ndani au kwenye matumizi ya migahawa na hotels Bei zetu ni nafuu Sana sample nitakazotuma ndizo zilizobakia kwa atakaehitaji tafadhali WhatsApp me 0763772636...
Habari wakuu,
Nauza mayai ya kanga kwa jumla na reja reja, yanafaa kwa kuangua vifaranga vya kanga pia. Bei ni 19,000 kwa trei moja.
Napatikana Dar es Salaam ila kama upo mkoani nakutumia pia.
Gari ni ya biashara, haina tatizo lolote. Inafanya kazi mpaka muda huu.
Wasiliana nami kwa namba 0769917961.
Kwa uhakika zaidi njoo na fundi ili kujihakikishia ubora wa gari. Karibu.
Year of...
Wakubwa habari za mchana huu,poleni kwa majukumu ya kila siku.
Mwenzenu nilikuwa na duka mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Mishi la kuuza simu pamoja na vifaa vya simu yaani chaji za simu, earphone...
Habari za Jioni wana Jf
Nahitaji mayai ya kisasa trey 30 kwa tzs 6000 @ Trey
Niko Mwenge opp na TRA
aliye nayo anipm tuelewane nahitaji kesho by Saa 5 asbh
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.