Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Salaam wakuu Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini classic Maana nimezunguka Kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000 Na mimi hiyo hela ya 150,000 sina.
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Nauza Sony Alpha NEX-5 14.2MP Digital Camera ipo katika hali nzuri kabisa original box Na inauzwa pamoja na lens zake 2 kama unavyoonekana katita picha imetumika kidogo sana ipo kama mpya bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza vifaranga vya kanga , bata mzinga na kuchi pamoja na mayai. 1: Vifaranga bats mzima cha mwenzi mmoja Tsh 20,000 2:Vifaranga kanga mwenzi Tsh 3,000 3: Vifaranga kuchi mwenzi Tsh 10,000 1a...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari nataka kununua kwa bei ya jumla tambi za dengu,Karanga za Mayai,ubuyu mzuri(vinto),krips aina zote (viazi,mihogo,ndizi)wapi naweza kupata tafadhari
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Natafuta mawe haya toka Kondoa, Haneti-Yebo. Mwenye nayo tafadhali ani PM! Yote hapo juu natafuta, Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
128 Replies
30K Views
Kama Una Pembe za Ng'ombe kuanzia Tani 5 mpaka 10 Tuwasiliane, utupe bei yako, tukikubaliana tunafanya biashara. Popote pale ulipo Tanzania tupo tayari kufanya biashara na wewe..... Iwe kuanzia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Fungus au rangi kubanduka kwenye ukuta,imekuwa moja kati ya changamoto kubwa sana hasa kwa nyumba za daresalaam kwa sabab ya Mchanga au udongo wake una chumvi chumvi nyingi Maeneo mengine water...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari za wakati; Kwa wale ambao wana hanangaika sana kuhusu aina ya Biashara kiwango cha mtaji na usimamizi wa biashara zao tunawapatia huduma ya ama kuwaandalia a custom business plan au ready...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Gari ni ya biashara, haina tatizo lolote. Inafanya kazi mpaka muda huu. Wasiliana nami kwa namba 0769917961. Kwa uhakika zaidi njoo na fundi ili kujihakikishia ubora wa gari. Karibu. Year of...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Natumai ni wazima wa Afya Tunauza bidhaa toka China kwa bei ya kiwandani... Kuanzia simu, nguo, saa, viatu, vyombo na urembo wa na vipodozi vya kina dada... Bidhaa ni za kuagiza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mvuti -kiboga, Mvuti ipo katikati ya mbagala na Chanika now kinauzwa kwa tsh 1.2m tu ukubwa 30x16m.kutoka Mvuti stand mpk site bodaboda tsh 2000 0657999034
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau ni aje,naomba kujua ni wapi naweza kupata matufaa au maapple yale makubwa na gharama zake kwa hapa dar es salaama,au la niwap naweza pata juice ya apple fresh kabisa iliyotengenezwa vizuri...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Tunauza shuka za mtumba grade AA size tofauti jumla na rejareja. Jumla 15000 Rejareja 20,000 ukitaka na foronya zake 2 inakuwa 25000 0717373037 kwa oda
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) 6*6 @70000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 6*6 @55000 Kwa waliopo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tunauza shuka za mtumba grade AA ukiziona ni km hazijatumika. SIZE 6*6 BEI. 20,000 tu Jumla 15000 kuanzia pics 10 Tunapatikana SINZA MGABE Tunapokea oda toka pande zote na kuwasambazia wateja,wa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kutokana na ushari wa mdau account nimeamua kuitunza
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Pata Chia Seeds kwa bei chee, nauza kg moja kwa shilingi 5000. Napatikana Karagwe-Kagera, mikoani natuma kuanzia kilo 20. Kwa wale wanaohitaji mzigo mkubwa upo wa kutosha. Chia seeds ni...
0 Reactions
65 Replies
12K Views
Unahitaji garden tutafute, karibu ...
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Habari wakuu Tumeanzisha business ya movie delivery Tunasambaza movie za aina zote(kasoro za kibongo) maofisini na majumbani But conditions for delivery ni kuanzia movie/series au episode tano Bei...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom