Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Imesajiliwa kwa alama za vidole Inapokea commission 100k tu Interested nicheck 0765042806
0 Reactions
34 Replies
2K Views
DN holdings company limited ni logistics company inahusika sana na kutoa shehena za mizigo mbalimbali bandarini kama mawakala wa forodha(clearing and forwading) Dn holdings company limited...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
NAUZA PIKI PIKI LOCATION MWANZA, MAGU AINA MAHINDRA COLOUR BLACK MODEL AROW CC 110 MWAKA WA KUTENGENEZWA 2015 IMETENGENEZEWA INDIA TRANSMITION 4 GEAR CONDITION , GOOD US NEW INA KM 58,000 DOCUMENT...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mziki huo na buster yake, Buster watts 2400 Mziki watts 1800 Zote kwa pamoja 350,000 tshs tu Location Dar ea salaam Contact Whatsapp tu 0622 869965
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nahitaji laini za uwakala,Airtel Money na Mpesa .
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wana JF. Naomba msaada kwa kufahamishwa ni wapi ninaweza kupata mkopo wa riba nafuu wa kumalizia ujenzi (finishing) ya jengo langu. Vigezo viwe riba nafuu na muda wa kutosha kulipa deni (kuanzia...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa Nahitaji chumba single self chenye jiko na umeme wa kujitegemea kiwe popote ndani ya ARUSHA Panapofikika kwa urahisi kwa kupanda gari moja tu la kufika town Bajeti yangu ni 80k...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Nina design aina yoyota ya matangazo, vipeperushi, mabango na kadhalika. Wasiliana nasi: +255684101707 kwa watsapp pia utatupata kwa namba hiyo hiyo. Hii ni moja ya kazi yetu.
0 Reactions
6 Replies
934 Views
NAUZA WALLET ORIGINAL ZA NGOZI NA SAA OG AINA YA STAINLESS STILL (HAZIPAUKI) CAL.+255 788-224220 +255 767-562153 +255 678-335833 BEI YA WALLET SH.25,000 BEI YA SAA SH.35,000 UNAPONUNUA BIDHAA...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, nauza mota zangu 2 za hp 3 kila moja.Mota zote ni nzima kabisa na hazina shida yoyote.Ni za phase 3. Zote ni made in germany na zinauwezo kutumika kwenye phase 3.Bei ni laki 3 kila...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kutana na offer ya kipekee kabisa kutoka kwa Umoja 1.Mambo ya kuamka asubuhi mgongo na umauma sasa basi Nini: Godoro Kampuni: QFL DODOMA kampuni bora ya magodoro Size: 6 x 6 inchi nane (6 x 8...
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Habari za jioni wapendwa, Karibu ujipatie simu ya iphone kwa bei nafuu kabisa, simu ni moja tu na ni used. Haijapasuka wala kukwaruzika pahala na camera yake ni matata. Simu bado ni nzima kabisa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa...
1 Reactions
0 Replies
716 Views
Nauza nguo za mtumba za wasichana zenye ubora na bei rahisi kuanzia 5000-15000 Napatikana Sinza Mori Kwa mawasiliano 0624041646
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Call/WhatsApp 0788622610 Brand New popsicle machine Ina tray 2 (40 popsicles each) Inazalisha pisi 80 kwa dk20 Inauwezo wa kuzalisha zaid ya piece 5000 kwa siku Bei:3,300,000 only Ukinunua...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nauza Note 4 mbichiiiii kabisa kwa bei poa 150000 tu (fixed) simu imenyooka na haina kipengele chochote. .....Camera yake iko saaafi clear 16MP Nipigie 0676723888
1 Reactions
2 Replies
951 Views
Nauza nguo za kike na kiume aina zote. Tunauza tsherts, mikanda, wallets, mashati, gauni, suruali n.k Waweza fika dukani k/koo mtaa wa manyema mkabala na jengo la ddc, uone ni jinsi gani...
1 Reactions
107 Replies
15K Views
Ukiachana na mambo ambayo watu wengi wanaangalia wanaponunua magari used ambapo mengine ni madogo. Kuna mambo ambayo huwa ni ya kiufundi zaidi ambayo huwa ni vizuri pia yakaangaliwa. Kwa watu...
9 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza kama una eneo halina kazi naomba tukutane, ili tuone kama tunaweza kushirikiana tufuge nguruwe kama washirika mimi nina mtaji wewe eneo. Eneo...
1 Reactions
3 Replies
847 Views
Kuna mzigo wa kutosha Sana ata tani kumi utapata. Ukubwa wake unaanzia sauzi ya betri kubwa ya radio na zipo mpaka 5kgs/stone.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom