Habari
Ili biashara yako itambulike kisheria basi yakupasa uisajili kwa kuzingatia taratibu zote zinazohitajika ili uweze kukamilisha usajili wako, unaweza kuisajili ukiwa kama mmiliki binafsi...
Wakuu habari za saa hizi.
Subwoofer hii inauzwa ipo katika hali nzuri tu imemaliza ni mwaka mmoja tu toka iliponunuliwa, ina Sound nzuri, Mdudo pia uko vizuri.
Bei yake ni sh 160000 Tsh za...
Mara ngapi unaishia njiani unapo buni kitu chako? Hii ni nafasi yako ya kuvaa kiatu cha design yako uipendayo. Lete tukamilishe ndoto ya kudesign style yako uipendayo mguuni mwako..
Tembelea...
Mara ngapi unanunua viatu vya shule kwa ajili ya mwanao na havidumu muda mrefu,wazazi mnajua jinsi gani inakera kununua kiatu kila mara. Mvalishe mwanao hivi viatu usahau kununua viatu kila mara...
Wakuu mko salama!
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya...
Jipatie viatu vya ngozi kwa bei nafuu ya 70,000..usisahau ununuapo unapata pair ya socks na shoe polish kwa ajili ya viatu vya ngozi..kwa dar it's free delivery...
mikoa mingine tunatuma kwa...
Habari,
Nina Godoro langu nilinunua kwa ajiri ya mdogo wangu ila akawa amepata kazi nje ya dar kabla hajalitumia. Godoro ni Tanfoam 5x 6 lenye box ni nchi 10.
ni jipya kabsa halijalaliwa hata...
Habari wadau wote wa JF,
Rejeeni kwenye thread yenye kichwa:
Naombeni msaada wa kuchangiwa Bima ya Afya (NHIF) ili kuokoa maisha yangu - JamiiForums
Naendelea na usafishaji wa figo, pia...
Assalam alaykum...
Moja kwa moja waungwana ningependa kuuliza kwa hapa Dar es Salaam 1 bag ya skimmed milk powder (25Kg) iwe LATO au NIDO au yoyote yale ni bei gani...?
Na naweza kupata wapi...
Fundi Nguo anahitajika haraka, awe Ana uwezo wakushona mitindo ya kisasa hasa ya wanawake, mchapakazi mbunifu na mwenyekujituma. Awe na ujuzi wa miaka 3 na ziadi, Mkazi wa Dar..Piga namba hii...
Kwa mawakala na wadau wanaohesabu noti nyingi, Rahisisha kazi zako kwa kutumia Machine ya Kuhesabu na Kutambua Note Fake (Money Counter Machines). Machine zipo za Kutosha na Zina Warranty ya Mwaka...
NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE
MAELEZO
Ni nyumba ya ghorofa moja yenye vyumba vinne(4) vya kulala vyote vina choo ndani.
Pia ina:
-sebule
-dinning
-jiko
-store
-Parking kubwa sana
-hall for...
Kama ulipata kusikia kuwa Binadamu ana mkia? Ni watu wachache sana waliopata kuuona; mimi nikiwa mmoja wao. Awali sikuyaanmini macho yangu pale nilipowaona watu wa ajabu. Mili yao ilikuwa...
Unapoweka switch on kwenye gari lako ni vizuri ukahakikisha angalau taa hizi zifuatazo zinawaka kwenye dashboard ya gari lako. Taa hizo ni
1. Check engine
2. Oil pressure
3. Airbag
4. Coolant...
Habar wakuu.....
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza....nipo Mwanza nina uhitaji wa frame sehemu yeyote yenye mzunguko mzuri wa watu....au hata biashara inayouzwa.
Ninaomba wakuu mniseidie...
Alminium _tz
--------------------
Tatizo lolote kuhusu Alminium
-Windows/Madilisa
-Door/Milango
-Office partition/kugawa ofisi
-Cabinet /Makabat
Tunafanya kwa kiwango cha juu. Tunampa ushauli...
Kama unahitaji chumba maeneo tajwa hapa chini nichek nikusaidie,ila masharti na vigezo kuzingatiwa.
Kwanza dalali anakula 10,000/= kwa kukuomyesha vyumba na kabla ya kukupeleka advance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.