Buda mobile water dispenser pump
ina uwezo wa kumimina maji kutoka kwenye dumu lolote
inakaa na charge sana una charge mara moja inakaa na charge ndani ya mwezi
bei ya kuuza ni 35000
lakini kwa...
Aina -Ni Mi_Sey
Ina ujazo -wa Lita 100
Ni used - kwa miezi isiyopungua 5
Ila bado nzima kabisa na inafanya kazi fresh tu .
Bei : laki 5 na 70
Nipo Dodoma mjini
Kwa atakae hitaji
Simu : 0525803444
Je unafahamu kwamba njia rahisi na ya haraka ya kujifunza jambo ni kwa njia ya sauti?Je unajua kwamba unapotazama kitu kwa macho ili ukielewa kinaenda kwenye mfumo wa sauti?Je unafahamu kwamba...
Karibuni tunadagaa safi wa kukaanga n.a. viungo toka Mwanza. Wapo kuanzia 1kg 10,000 pia tuna package ya ndogo ya4500 na package ya 8500.karibuni napatikana Ubungo karibu n.a. stand ya mkoa unaeza...
Autoguru garage ni kampuni inayoshughulika na utengenezaji wa magari kuanzia,
kunyosha magari na kupiga rangi
service za magari
diagnosis
engine overhaul
kubadilisha vioo
Alarm systems
Fleet...
Habari zenu wandugu, nauza gari yangu aina ya Vitz ya milango mitatu (Bei ya kuanzia kuuza ni Tshs. 4,200,000/=) Pungufu unaongea, dhumuni la kuuza gari hii ni kutaka kubadilisha gari, ni gari...
Habari za majukumu wakuu nna milioni tano nahitaji gari aina ya ist ya kuanzia maisha namba iwe c au b hamna shida isiwe na mazoezi tu nimejalibu kuunga unga pesa iongezeke imeshindikana...
Hi guys!
Natafuta wauzaji wa jumla wa nguo na viatu vya kiume ila wawe wanaimport wenyewe, tukielewana vizuri naweza kuwa customer wao. Targeted customers ni average income earners.
Unaweza kuniPM.
Habari ndugu zangu JF
Kioo cha tv yangu kimepasuka. Naomba kuuliza hvi hapa mjini Dar wapi naweza pata kioo cha tv inch 55??
Naomba Msaada ndugu zangu kama kuna mtu anajua wapi nitapata. Ahsante
kwa wale wanafunzi na wazazi wenye wanafunzi ambao wanasoma advqnced physics au diploma, nawapa bishara njema kwa kuwa vitabu vilivyoandikwa kwa ustadi na Elias kihombo sasa vinapatikana kwa bei...
Habari!kwa muhitaji wa kusafirisha mizigo kutokea Dar es salaam kuelekea Mbeya mpakaTunduma waone A&E transportation kwani watafikisha mzigo wako kwa usalama zaidi na kwa wakati sahihi na kwa...
Habari zenu wapendwa.mimi ni mjasiriamali mdogo ninapack bidhaa mbalimbali zikiwemo ubuyu, visheti na tambi. Lkn changamoto yangu kubwa ni vifungashio. Naomba kwa anaejua vinapopatikana anijuze plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.