Machine mpya ya kisasa ya kukatia nyama samaki na mifupa
Ina uwezo mkubwa wa kufanya kazi
Ina sehemu ya kusagia nyama
Ni imara na ina warranty Ina motor yenye nguvu
Bei 1,350,000 tu Free delivery...
Wakuu Kama kichwa cha habar kinavosema
Nipo DSM, nahitaji sofa used la watu wawili, liwe Clean, at good condition
Bei natoa 80k
Kama unalo upo dsm njoo pm uchukue pesa chap!
PANDA MITI YA MBAO NA NGUZO UNUFAIKE BAADAE.
Kilimo cha miti kimepata umaarufu wa ghafla miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ongezeko la mahitaji ya mazao ya miti na...
Natafuta kampuni au dereva anihamishie vitu kutoka Dar kuelekea Mafinga na vitu vya ndani kitanda kabati etc...kwenye tar 26 au 270 mwezi huu.
Kama unainua kampuni au ww ni dereva ni PM contacts...
IFAHAMU TEKNOLOJIA YA QR CODE
Je! Umewahi Kufikiria Kuhusu Kuunda Msimbo Wa QR CODE Kwa Ajili Ya Biashara Yako? QR Code (Au Msimbo Wa QR CODE; Kutokana Na Kiingereza Quick Response Code) Ni...
Nauza Bumbell za mazoezi
KG 4 bei 40,000/=
KG 8 bei 45,000/=
Material chuma laini.
Faida/Kazi yake
1)Unatimia kwa mazoezi hasa ya mkono kujaza mkono (Biceps na Triceps)
2)zinapunguza mkono...
Heshima kwenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema kabisa na majukumu ya kila siku aisee.
Well, naulizia chumba maeneo ya Usa River Arusha kiwe Single Self Contained kikiwa na jiko ndani yake, kama...
Karibuni Gariexpress.com.
Magari yalioagizwa (Imported Vehicles) yapo katika yadi yetu, Magari yametumika japan only (used overseas only). Kwa wanaohitaji karibuni sana. Best offer kulinganisha na...
Karibuni wote wenye uhitaji wa kufanyiwa kazi za ukarabati wa nyumba pamoja na kazi Mpya za ujenzi ,Pia tunasupply building materials mfano: rangi, misumari,Mabati, Tiles za Sakafu...
Mazulia safi na ya kupendeza popote Tanzania utatumiwa kwa uaminifu mkubwa Unaweza pia kuchagua maneno unayohitaji kuwekewa kwenye zulia lako.
Bei ni nafuu kabisaTsh 12000 kwa Bei ya jumla 15000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.