Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wapi naweza kupaya mashine ya kutotoleshea mayai/vifaranga inayotumia umeme na gesi? Itapendeza kama wahusika ni wajasiliamali wa kitanzania.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Purchase real and Novelty Passports,id cards,visas,drivers license ,Permits for all countries Are you trying to change your nationality ? do you need worked papers ? do you want to travel ? do...
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Wapi naweza kupaya mashine ya kutotoleshea mayai/vifaranga inayotumia umeme na gesi? Itapendeza kama wahusika ni wajasiliamali wa kitanzania. ====== Pitia uzi huu Tunauza incubator, mashine ya...
1 Reactions
0 Replies
947 Views
Wadau naombeni msaada, natafuta air fresher nzuri ya kuweka chumbani na chooni...Siyo ya kuspray..nataka ambayo unaweka tu bila kuwa unaspray mara kwa mara...Nitajie majina tu mdau Asanteni sana
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Nipo songea natafuta laptop ya Bei rahisi iwe na uwezo wowote Ila isiwe mbovu Wala isiwe imechoka Sana hata ikiwa min Bei yangu tsh 100000 Kama unayo nichek 0713861567
0 Reactions
0 Replies
609 Views
Kabati la nguo mninga. Futi 5*6 kabati ni mninga wa Zaman. Halina tatizo lolote linauzwa kwa sababu ya shida imejitokeza. Bei sh. 550.000(lina milango 3 na droo 3)
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna maduka kama laptop city, Discount kubwa, zawadi computers na maduka kibao ya wasomali wanauzaga hizi laptops kwa bei chee kidogo. Niliwatafuta wanipe connction ila waligoma, Sikuwa na nia ya...
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Habari wakuu, nina taaluma kutengeneza hesabu na gharama za materials na idadi ya materials, mfano kutambua idadi ya matofali,mabati, misumari, mbao za roof structure na ceiling blandering/gypsum...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Cal.+255 717-671240 Navunja Bei ... Hii kwasasa ni milion 28 Nyumba. Inauzwa ipo boko msikit upande wajuu Ina vyumba vitatu Master Moja sebule jiko choo uwanja una QM 400 pamepimw hati bado...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Ofa ofa ofa T-shirt kali zinauzwa kwa bei nafuu, bei karibu na bure, Kuanzia 5-10 bei ni Tsh 6900 . 11-30 bei ni Tsh 6600 . 31 + bei ni Tsh 6400 Mkoani tunatuma...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni nzima kabisa inapiga kazi fresh kbsa Huduma ya kukufungia ni bure kwa atakaehitaji Nipo Dodoma mjini ila popote ulipo naweza kukufikia Location: Dodoma Bei : 3 Millions Phone number: 0625803444
1 Reactions
4 Replies
735 Views
Wakuu Habari, Ninashamba langu Naliuza Ekari 67 na kila eka ni Tsh.3m ,miti aina ya milingoti ina miaka mitano, ambayo baada ya miaka miwili utauza, Nimepatwa na shida inayohitaji fedha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Gharama za Silent Ocean zipoje?Kuna mzigo wa Laki na nusu nataka niagize sasa nashindwa kujua gharama zao wanachaji vipi Kwa mfano mzigo wa kilo moja wanachaji shilingi ngapi kuusafirisha kutoka...
1 Reactions
40 Replies
13K Views
Natumia epoxy resin kwenye mbao na chuma kutengeneza saa za ukutani ,meza (kwanzia coffee table hadi zile kubwa kabisa)serving boards,stools pia naweka countertops za maofisini ,jikoni, bar na...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Karibuni mazulia ya manyoya na makapeti kwa garama rafiki kabisa Kapeti kama hili 80 upungufu kidogo upo 80 pia manyoya ukubwa sawa na hizo hapo juu bei bei 130k rangi ni cream kote manyoya...
3 Reactions
145 Replies
76K Views
Ipo Dodoma mjini Inatumia Umeme tu. Ina piston 2 Ni used kwa miez 6 tu Ipo katika Hali nzuri unachukua na kutumia tu Ujazo wake ni Lita 100 Bei 550,000/= fixed Contact : 0659200302 (WhatsApp)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajamvi naomba msaada wa mtu au company inayoweza nitengenezea logo ya company yangu.....campunkyangu inajiusisha na uzalishaji na uuzaji wa nafaka,
0 Reactions
2 Replies
532 Views
*CHUMBA NA SEBULE* CHOO NJEE TILES GYPSUM FENSI MAJI UMEME IPO. MBEZI BEACH (BARAZA LA MITIHANI) BEI 100,000/= KWA MWEZI MALIPO YAFANYIKE KUANZIA MIEZI MINNE (4) CALL 0694237241[
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu nimekuja humu ndani nikiomba msaada wa mawasiliano ya uongozi wa kata ya Upanga mashariki Kwasababu niliacha nyaraka zangu pindi nilipokua huko Dar. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
467 Views
Ndugu zangu naomba mnijuze wapi na bei gani Dar es Salaam nitapata mifuko ya kuhifadhia nafaka kama mahindi zisioze bila kuweka dawa.
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Back
Top Bottom