Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa Wasomaji wa Kiswahili DSTV Tanzania Kushusha Bei ya Vifurushi Kuanzia Tarehe 1 Septemba 2019 Bei mpya za vifurushi vya DTSV vitakuwa ni: Jina la Kifurushi Idadi ya Chaneli Bei ya Zamani...
3 Reactions
26 Replies
25K Views
Wakuu nauza TV aina aborder Ina double glass yani vioo viwili,,cha nje kikivunjika kinabaki cha ndani Ina msitari kidogo tu hapo chini Bei ni 230000 Dar es salaam 0762693368
1 Reactions
11 Replies
1K Views
"Bado nasisitiza kuwa tusithubutu kufanya lolote kabla ya kuhakikisha kuwa Joram Kiango ni marehemu..." Ndivyo anavyosema mshiriki mmoja katika kikao nyeti, chenye usiri mkubwa. Kikao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Natafuta kibanda au frame ya biashara ya genge au vitu vya sokoni. Frame iwe maneno ya Sinza, Tabata, Kinondoni, Kigamboni.. Mwenye nayo tuwasiliane DM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauliza soko la ndimu na ndizi mzuzu. Kuna mzigo upo mbioni kukomaa; kama wewe unajishughulisha na upo interested tuongee biashara vikiwa tayari nikustue ila nijue bei yako kwa plastic ya ndimu...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Hii ni namna ya kisasa ya kuwapa kuku maji na inafaida zifuatazo. 1.kuku hawawezi chafua maji hivyo kuepushwa na magonjwa. 2. Huitaji kubadili maji mara nyingi ndani ya siku kama ukitumia aina...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana Jf, nimefungua huu uzi wangu ni maalumu kwa ajili ya kufanyia mauzo ya vyombo vya ndani Vipya,ni vyombo tofauti tofauti kuanzia hotpot,Oven,blenders,sahani,mabakuli,glass na vyombo...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
KARIBU TUFANYE BIASHARA.
2 Reactions
64 Replies
17K Views
Nauza used azam full set which include: dish, receiver na kadi yake, wire. -contact: 0712518770 kimara. -risiti ipo -bei 80000
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kilivyojielekeza ndugu Watanzania wenzangu. Mimi Ni fundi carpenter na pia Ni mtaalam wa Scaffolding za aina zote iwe ya mirunda,bomba (black pipes) au (Scaffold...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Salama ndugu zangu ,licha ya changamoto nilizopitia katika ufungaji maana walikufa ngombe wawili kwa ugonjwa lakini sijakoma kufuga ...natamani na napenda Sana kufuga. Nataka ninunue either mtamba...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Kwa biashara, App au website inayo hitaji ku verify matumizi ya wateja wake kupitia SMS Anaweza kuwasiana nami Bei ni rahisi sana. 0620 736 315
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ICS GROUPS tunauza milango ya mbao za mninga au mkurungu bora na kwa bei nafuu katika mkoa wa Dar es salaam. minimum order ni milango minne kwa design unayotaka . Kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari zenu wadau. Well, naulizia chumba kwa maeneo ya karibu na Chuo cha Nelson Mandela NM-AIST naweza kupata kwa bei gani wadau...? Ningependa kiwe ndani ya fence coz kuna uwezekano wa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu kwanza napenda kuwapa hongera wote kwa ushindi mno wa 22-0 japo wengine hawapewa kombe lao. Pili napenda kupongeza Harmonize kwa show kali kafunika japo kuteleza sio kuanguka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu? Mimi ni mkulima wa zao la ufuta mkoa wa manyara. Soko la ufuta lipo vipi mwaka huu 2020? Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadau - JamiiForums Sent using...
0 Reactions
23 Replies
41K Views
Pwani Real Estate tumekuwa kwa muda wa miaka 4 mfululizo tunazalisha tofali na kuuza material ya ujenzi kwa cash na malipo ya awamu awamu. Lakini kutokana na wateja wetu baadhi kulipia materials...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Dalali yoyote mwenye vyumba vikali (vina maji,umeme, security,gypsum/selingbod nzuri, karibu na barabara) maeneo ya ubungo external, mwananchi, Tabata na sehem yoyote iliyopo karibu na centre ya...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Wakuu msaada naomba kujua lodge nzuri maeneo ya makumbusho isiozidi 25,000 Jina.......... Bei............ Asante
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nimefurahi at least watu wenye idea nzuri za matangazo wamepata nafasi ya kufanya kazi. Tangazo linatakiwa kuwa more than just tangazo, linatakiwa kuwa kiburudisho ambacho hata kikijirudia...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom