Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nyumba self contained four bedrooms inapangishwa morogoro kihonda kwa chambo jirani kanisa na stendi kuu ya mwendokasi wa SGR. Umeme, fence, maji vipo. Nyumba ina tiles gipsum and aluminum...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MAKE: BMW MODEL: X3 E83 2.5i ENGINE: M54B25 (2494cc) MILEAGE: 59,398 YEAR OF MANUFACTURE: 2005 FUEL: PETROL COLOR: WHITE TRANSMISSION: STEPTRONIC AUTOMATIC OPTIONS: PANORAMIC MOONROOF...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliepo Dar, Mlandizi, Chalinze, Kibaha. Bei 6500 ndo nnayo nunulia nnahitaji tray 200, mawasiliano 0625602775 napataikana Dar es salaam ilala amana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Poleni na majukumu ya kila siku, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Azam king'amuzi Dishi lake HDMI offer yangu 110,000 ,nipo Dodoma.
0 Reactions
4 Replies
941 Views
Tarehe 25/8/2020 serikali imefungua maombi ya kuanza kuomba kujiunga katika vyuo vya ualimu kikiwemo PATANDI.... Kimsingi vyuo vyote vya ualimu vitaanza kutoa STASHAHADA baadala ya ASTASHAHADA...
0 Reactions
4 Replies
16K Views
Wakuu nauza rav 4 kwa tsh 8,000,000/-, ni old model,imetembea kilometa 150,000,ina rangi nyeusi,ni ya milango mitano.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana Jamii Forum. Naitwa Daudy napatikana Arusha najihusisha na ufundi umeme wa magari, lolote linalosumbua kwenye gari yako kwa upande wa umeme wasiliana nami kupitia namba: +255767944367...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwanza tupeane pole na hili janga lililovamia dunia yetu. Lakini hatuna budi kupambana nalo litoweke hapa duniani kwa kufuata yale ambayo wataalamu wametuambia. Mbali na hapo, ninapenda...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi. Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja. Eneo: MBWENI-Maputo, Maarufu kama Kwamasista. Ukubwa: Kimoja ni SQM 1227, Kingine ni SQM 1234...
1 Reactions
70 Replies
11K Views
Kwa wale wapenzi wa riwaya za Hayati Ben Mtobwa, ambaye mpaka sasa tumeweza kufikisha riwaya aina 15 zikiwemo riwaya za kipelelezi zinazombeba Joram Kiango kama mpelelezi hodari anayeweza kufumbua...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau tunazitambulisha kwenu kambi popote mashine ya kusaga na kukoboa ikiwa na matairi popote unaenda nayo hizi mashine zina bei kutokana na ukubwa wake au size za vinu Mashine ya kusaga kinu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, Kama nilivopokea (As received) Nimeokota vyeti vya *SAMSON Y MWAMBWIGA* 1. Result slip ya form four 2. Result slip form six 3. Cheti cha kuzaliwa 4. Cheti cha kifo cha mzazi Anitafute...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania wenzangu Mimi vijana wenzangu tumeamua kwa pamoja kuunganishwa mawazo yetu na nguvu zetu kwa pamoja!. Tunashughurika na kazi tajwa hapo juu pia tunafunga gpsum board aina zote na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Onyesha uzalendo pigia vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania kwenye link hiyo hapo chini tusaidie kuvutia watalii nchini kwetu. Ni rahisi tu. Wakenya huwa wanatupiga bado eneo hili. Tupende...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ARUSHA USARIVER, tuwasiliane 0654553163 1.bei gani Kukodi? 2.inabeba cubic metre ngapi?
0 Reactions
2 Replies
924 Views
Photocopy machine xerox 4265, inauzwa IPO makambako-njombe. Simu 0676775220
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Meza ya saloon ya aluminiam ina box moja 50000 Vioo viwili ukubwa futi 6kwa futi 4 upana 160000VIMEZUNGUSHWA aluminium mlango mkubwa wa flem wa aluminium futi 7kwa 6 300000 nipo buza temeke...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Napunguza baadhi ya vitu ndani kwangu naanza na kabati la nguo ni la milango mitatu halina shida nimeamua tu kuliuza baada ya kununua jingine kama utakuwa interested nicheki PM nitakupa namba na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,nauza kabati la nguo la milango miwili limetumika miezi sita tu ,sababu za kuuza nahama mkoa.kabati lipo dar bei ni 180k maongezi yapo,nipm namba yako...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini za usiku wakuu, bila kupoteza Muda napenda kwenda kwenye mada Ambayo inausiana na ujenzi wa nyumba na Umaliziaji nyumba , Kwa mawasiliano zaidi piga 0688802481
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom