Inspekta Kombora anaitwa katika hoteli moja jijini Dar
es Salaam ambapo anaonyeshwa mwill wa msichana aliyeuawa kikatili kupita kiasi. Ngozi na nyama ya uso wake mzima na sehemu ya shingo lake...
Wakuu nauza TV aina aborder
Ina double glass yani vioo viwili,,cha nje kikivunjika kinabaki cha ndani
Ina msitari kidogo tu hapo chini
Bei ni 230000
Dar es salaam
0762693368
*MAELEZO YA FURSA YA INCLUSIVEFX.COM*
*Unachotakiwa ni kuwa na mtaji wako kuanzia dollars 50$ yaan sh.130000/= na kuendelea na watakulipa kila siku asilimia 1.6% hadi asilimia 2% ya pesa...
Je wewe ni mmiliki wa bidhaa au huduma mbalimbali?Je ungependa kuwafikia wateja wengi ili wafahamu kuhusu huduma zako na bidhaa zako?Je ungependa kutumia mbinu za kisasa za masoko ambazo...
Sorry ndugu zangu naomba kuuliza anaejua bei ya Gari Mitsubishi Rosa (used) but not in Tanzania kwa showroom za Dar??
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
SOLD BY THE OWNER TOYOTA VITZ NEW MODEL-2008
Asking Price: TZS 8,500,000
Location: Dar es salaam, Tabata
Low Mileage: 64,000KMs
Number: T*** DNY
Imported: Dec 2017 with 59,000 KMs,
New Tires...
Hello Jamii Forum Members.
Autocom From Japan Tanzania Branch, we are selling used cars from Japan.
Toyota Raum for fair price.
price: 2200 USD (4,906,000)
Tax and Registration: 5,293,360.53...
Habari wakuu Mwenye gari zuri no kuanzia B Nipo DSM kama upo nicheki.
Lakini lazima twende TRA,na polisi kwa ajili ya ukaguzi wa umiliki pia kutest gari umbali mrefu lisije kwenda kilomita moja...
Najidakia kama watengenezaji na wauzaji wa mashine mbalimbali zikiwemo za tofali tumekuwa tukipokea malalamiko mengi hasa kwa makanjanja wachache katika sekta ya wazalishaji machine hapa nchini...
Habari zenu.
Naomba kuuliza kama kuna mtu anauza vipimo vya asali (honey refractometer) au naweza kupata kwa mtu gani au taasisi gani (connection) ya kuvipata hivyo vipimo kwa Tanzania
TOYOTA IST (DCZ)
Make : Toyota
Model : Ist
Engine Capacity Cc: 1290cc
Mileage: 95,000km+
Location : Tabata
Fuel: Petrol
Standard features:
Good Tyres
Excellent Condition
Transmission: AUTOMATIC...
Hbarini wanajamvi?
Ninazo modem zenye uwezo wa 4G na hazijafungwa kwa mtandao wowote...hivyo ukiwa na modem hii utaweza kutumia mtandao wowote.
Yaani ukiwa na line ya 3G/4G utaweza kutumia modem...
BUYUNI BEACH PLOT
Cal.+255 788-224220
+255 767-562153
UMBALI NI 37 KM KUTOKA KIGAMBONI FERRY
-viwanja vimepimwa kwa square meter 400 (20 kwa 20)
-Eneo lake ni zuri na neighborhood yake inavutia...
Habari ndugu zangu, nauza duka langu lililopo Tandika double kibin sokoni, duka ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukari, ngano, mafuta, sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.
Biashara...
Nauza Toyota rav4 Kili time shillingi milioni 8.
Ni manual
Ya mwaka 2000
4 wheel drive
Petrol
Leather seat.
Wasiliana na Prosper 0765868128
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajamvi naamini humu wapo wajasiriamali waliojikita katika biashara ya furniture ama useremala.
Nahitaji:
Kitanda, mbao ya mkarati, kiwe futi 6 kwa 6
Kabati la milango mitatu, mbao...
Habari ya jioni
Natumia mko salama na mmesherehekea vizuri mwaka mpya
Nahitaji Mtaalamu ambaye anaweza kunitengenezea Vitabu vya Vicoba.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.