Nawezaje pata mtu wa kunipa mbuzi watatu kila siku au baada ya siku mbili kwa ajili ya kuimarisha biashara yangu ya nyama choma ya mbuzi, niko mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa.
Biashara yangu...
Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4
Mtu yoyote anaweza ku afford
Bei ni tsh 120,000 tu.
Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana
Kwa 0772835536.
NB...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 150 linauzwa. Liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe, kijiji cha lwanzali kwani miundombinu yote iko sawa, na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi...
Karibuni kiwanja wana jamiiforum, kipo sehemu nzuri kutoka kiluvya madukani mpaka kilipo nauli ni buku.
Kiwanja hakina udalali na maelewano yapo.
kwa mawasiliano zaidi karibu +255617011077...
Wajasiriamali tunawakaribisha mashine ya kukausha vitu mbalimbali kama samaki,dagaa,mboga,matunda au nyama.
Tunaitengeneza hapa hapa katika ukubwa tofauti kutokana na hitaji la mteja.
Mashine hii...
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye point, niko Mkuranga nahitaji Pool table, mwenye ufahamu ni wapi naweza pata na gharama zake nitashukuru mno.
Nawasilisha nikiambatanisha na shukran.
Habari ya uzima.
Kwa MTU yeyote au Kampuni inayohitaji huduma ya usafirishaji mizigo , Local cargo au transit cargo , naomba tuwasiliane .
Tunayo Magari Aina ya flatbed pamoja Tipper
Haya...
Habari Wadau!
Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu...
TV USED lakini naweza sema ni zile USED FROM DUBAI japo ni FROM Tanzania
Tv ni NET and CLEAN safi sana, Uhakika Sana.
Njoo ichukue hiii utaipata kwa bei rafiki kabisa TV ni kama Mpya Ndugu yangu...
Bei ya Tv 1.2m (Fixed Price)
Warranty 3yrs
Used : Imetumika 1 month mpaka sasa.
Milioni 1 na Laki Mbili (Bei haipungui)
ipo Dar es Salaam - Kibanda cha Mkaa.
Nauza hii freezer ya West Point inagandisha barafu na umeme ukikata inaweza Kaa masaa 12, haina shida yoyote, inapatikana kijitonyama dar es salaam. Bei ni 300,000.
Oven 80,000
Deep fryer 100,000
Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada
Tuna balo za nguo aina zote kama
Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.