Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kiwanja kilichopimwa kipo Mwasonga, Kigamboni kilometer 30 kutoka ferry, ni kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa sqm 712 na sqm 725 kila kimoja nauza kwa million 5 unaruhusiwa kutanguliza Milioni 3...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza masofa shilingi laki 7 (Tsh700,000/=) mwenye uhitaji anicheck 0764124429. Mzigo upo kongowe ya Mbagala, njia panda ya kwenda Kigamboni.
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Jipatie hisense tv's kwa bei poa kabisa Zina warranty ya miaka miwili Free delivery kwa wateja wa Dar es Salaam Tupigie au whatsapp 0765586050 Hisence 32”. 440k Hisence 32”smart. 510k Hisence 40...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Mayai hayoooo yanasubiri tu oda yako Bei 6000_ 7000 tu Trei mpaka 100 zinapatikana kwa wiki Tupo MBEZI MWISHO DAR ES SALAAM 0769652919
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Aminia games tunakuletea PS2 COMPLETE INAUZWA 160K Ipo katika hali nzuri imechipiwa Ina memory card ya kuboot na kusave ina flash disk 8gb na games 4 unazopenda Ina pad mojaina cables zote,(waya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Business Plan (mpango biashara) ni nini? Business Plan ni taarifa iliyo andikwa ambayo huonyesha lengo la biashara husika kwa kuonyesha hatua muhimu za kupitia ili kufikia lengo. Hapa unapata...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani nahitaji kioo cha TV Hisence inchi 55 Nilinunua TV yangu mpya last week, sasa kwa bahati mbaya kioo kimevunjika upande wa juu kulia na kama wino hivi umevuja Kwa yoyote mwenye uwezo wa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
- Umbali ni 5 km kutoka kituoni barabarani ya lami (Taliano bus stand) -Eneo ni Tambarale -Jumla ya Ukubwa wa Eneo ni Heka 4 ndani yake kuna viwanja vitano ambavyo vimepimwa vyenye ukubwa wa 3300...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wale wajasiriamali wenzangu Nauza mashine ya kutengeneza popcorn Mashine hii ni mpya Naliuza tsh 380000/ Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 dar nko Ova
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Nyumba inapangishwa Sinza. Vyumba Vitatu (Master 1). Jiko, Sitting room, store & Dinning Price 700,000 per Month. Term of payment 6 month. Services feed for broker one Month. Call/wasapu: 0738092860
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Msaada, Naomba mwenyewe kuuza baiskeli used from China kwa bei ya jumla au mwenyewe uelewa wa hii biashara anisaidie nielewesha, nataka kuanza kuuza baskeri lakini sijajua nitapata wapi kwa bei...
0 Reactions
3 Replies
818 Views
Habari wakuu nataka saa model hiyo vje bongo wanauza wapi kwa bei ya range hizo, naogopa kuagiza aliexpress kutokana na kuchelewa kufika mzigo kwa sababu ya maradhi haya ya korona je kuna duka...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanaJf Nahitaji chumba single self kizuri cha kupanga Arusha eneo lolote lisilokuwa uswazi. Panapofikika mjini kwa urahisi. Bajeti yangu ni 50k mpka 100k Ila kikiwa kikali zaidi naweza...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Karibuni nauza Unga wa Mbegu za Maboga Pure 100% haujachanganywa na chochote. Unga huu una faida kemkem kwa afya zetu na kwa umri wowote. Kama vile umsaidia Mama anayenyonyesha Kuongeza maziwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
SAMSUNG S8 64Gb 550,000/= fixed Fullbox New Call/whatsapp: 0715767420
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Awali nilikuwa na simu TECNO L8 PLUS nikaiuza nikitaka niuprade kwa kununua Tecno L9 plus lakini bahati mbaya sana nilipoenda dukani sikuipata. Hazitoki kiwandani tena. Niliinunua hii Infinix kwa...
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Karibuni sana kwa huduma za Electric Fence Installation. Garama zetu ni 25000/= per meter. Tupigie kwa 0766139379/0677412479 Tunafanya kazi mikoa yote. Ofisi zetu zipo Makumbusho buss stand.
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Wakuu rejeeni kichwa cha habari hapo juu, gari zinakodishwa kwa town trip na zinapatikana Dar es Salaam. Moja ina tani 3.5 aina ya TATA nyingine ina tani 3 aina ya Mitsubishi Canter. Gari zinafaa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mifumo bora ya Umeme, muonekano bora na matumizi sahihi ya Umeme karibuni sana FAABI Electrical Service Provider Ltd. Tunapatikana Sinza E. Jirani na Uwanja wa mpira wa TP. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza seat covers za viti vya harusi kwa TSH 10,000 kila moja na Sashes za viti kwa TSH 8,000 kila moja (used). Seat covers zipo sampuli nne za rangi nyekundu, pink, cream na brown (chocolate)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom