5 bedrooms,1 master bedroom
Ina kisima cha maji safi na tank lake
Eneo sqm 1000
Parking space ya kutosha ata gari 8
Title deed
Bei 190m mazungumzo
More details 0715877076
Ina fremu 8 na vyumba vi5
Ipo opposite na mwendokasi
Imegusa barabara kubwa ya lami
Eneo sqm 400
Clear title deed
Bei 800m mazungumzo
More details 0715877076
Tunatafuta eneo lililo karibu na barabara kwa ajili ya kuhifadhi mchanga, matofali, na vifaa vingine vya ujenzi. Tunatafuta mtu mwenye eneo na ambaye yuko tayari kushirikiana nasi kwa makubaliano...
Wakuu,
Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Habari?
Je unahitaji BUSINESS CARDS? wasiliana nami leo niweze kukufanikishia..
Business cards 100 kwa Tsh 25,000/= tu
UNAHITAJI VIPEPERUSHI?
Kwa mahitaji ya Vipeperushi pia unaweza wasiliana...
Habari!
Nauza saloni nzima ya unusex kwa shillingi 2.5 Million za kitanzania pekee!
Haijawahi kutokea!
Eneo Yombo Buza.
Kila kitu kinauzwa kasoro watu
Karibu PM
Habari za majukumu ndugu Wana jamvi, poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Tunauza ng'ombe bora wa maziwa hapa rungwe mkoani mbeya tuna ng'ombe aina mbali mbali wanaotoa maziwa mpaka lita 20 kwa...
Kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia, ikiwa ni pamoja na:
✓ Utafiti wa soko,
✓ Mikataba ya kukodisha,
✓ Usimamizi wa fremu za biashara na
✓ Uendelezaji wa biashara.
Makala hii itaangazia...
Xiaomi Redmi Note 11
Storage Gb128/6Gb Ram
Camera ni balaa📸🔥🔥50MP ultra Wide /13MP Selfie
Laini mbili
Battery 🔋 5000MAH (Over 2 days lasting with data usage)
Simu iko clean Vibaya mno...
Kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta ford trucks za miaka ya nyuma iwe inatembea au imepaki chamsingi bodi iwe nzima. Nicheki dm tufanye biashara.
Karibuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani (mnadani).
Miongoni mwa huduma zetu ni hizi
1) Free WiFi
2) Vinywaji vya kila aina
3) Music
4) Shisha nk
Pia tuna karioke kila siku ya...
BEI YA DESIGN TSH 50,000/= (UTAPATA NA OFFER YA REALISTIC MOCKUP YA BIDHAA YAKO)
BEI YA KUPRINT STICKER TSH 600/= A4 SIZE
HUDUMA ZETU UTAZIPATA MAHALI POPOTE ULIPO!
FREE DELIVERY NDANI YA DAR...
Habari Wapambanaji wote.
Naitwa Derick Mtimba ni afisa mauzo wa Shacman Tanzania. Ninayo furaha kuwajulisha kuwa kampuni yetu inatoa aina mbalimbali za magari ya mizigo na ujenzi, yakiwemo...
Mifugo plus Tunauza vichanja vya kufugia kuku wa mayai,kuku wa nyama pamoja na za kulelea vifaranga.
■BEI ZA CAGE'S/VIZIMBA
■KUKU 96 BEI 650,000/=TSH.
■KUKU 128 BEI 850,000/=TSH.
■VIFARANGA...
• Direction: Ungoni Street
• Price: USD 120,000
• Terms: 50% Upfront; the rest within 3 years
• VAT & Transfer not inclusive in price
• Monthly Service charge: TZS 180,000
.
✓ new built (not used...
Habari za weekend, Wakuu.
Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake,
Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K,
Ipo katika hali nzuri...