Rav4 Short iyo ina hali ya upya kabisa haijawai kugongwa wala kurudiwa rangi ni ya mwaka 1997 kilometa 112,000 ina engine ndogo cc 1,990 na tumefunga matair yote mapya bei ni 7.5m
0714787795
Habari zenu
Nyumba ya kupanga inapatikana buza kanisani
Nyumba ni Chumba kimoja cha kulala self contained,na sebule
Mpangaji ni mmoja tu na mwenye nyumba
Nyumba haina makelele ni tulivu mno
Kodi...
Naomba msaada kwa mtu yeyote anayejua namna ya kuzipata Gari canter used kutoka Malawi. Hasa zile multipurpose ambazo unaweza ukazitumia kusombea na mchanga.
Habarini wanafamilia wenzangu wa Jamii forums, bila shaka ni wazima na mnaendelea vizuri na majukumu ya kulijenga Taifa letu.
Kama tangazo linavyojieleza hapo juu, nyumba ina jumla ya vyumba 3...
JIPATIE BRAND NEW XIAOMI REDMI NOTE 7
YA GB 64 KWA 500,000
YA GB 128 KWA 600K.
CAMERA - 48 MP
RAM - 4 -6 GB
BATTERY - 4000mAh WITH FAST CHARGER USB TYPE C
BIDHAA ZOTE ZIKO SEALED NA MAELEWANO...
Ina bakuli la ujazo wa kilo 3kg.
Kwa wajasiriamali wa viungo vya chakula, vinywaji kama kahawa, cocoa na majani makavu, wauzaji wa butter, unga wa lishe na dawa za mitishamba/herbals hii si ya...
Nauza Simu Samsung Galaxy J5
Simu ipo katika hali nzuri
Chaji siku nzima ukiwa umewasha data
Camera Mp 13
Android 6.01
Storage 16 Gb
phone comes with a 5.00-inch touchscreen resolution of...
OFFER! OFFER! OFFER!
Jipatie Tv inch 43 aina ya General Max kwa shillingi 590,000tsh pekee
Tv ni imara na zina warranty ya miaka miwili
Tupigie au whatsapp 0765586050
Zingine:
GM inch 32 380,000...
Jamani hii SALON ina vitu vifuatavyo ndani ambavyo vinauzwa pamoja na kufanya bei ianzie Mil.6.
1. Ina Viti 2 (vya kunyolea).
2. Ina Machine 2 ( za kimarekani) za kunyolea.
3. Ina sofa mbili za...
Salaam wakuu.
Kuna shughuli imepatikana kufanyikia Dar Es Salaam. Inahitajika nyumba nzima yenye vyumba 3 vya kulala sebure, jiko na iwe na uzio. Iwe rahisi kufikika na usafiri wowote isiwe ndani...
Habari wadau, nipo hapa kuomba ushauri wenu, nakutana na wafanyabiashara wengi wanaofanya biashara zao kwenye mtandao wa Instagram. Katika hawa Wafanyabiashara naona wengi wanapata mafanikio...
Tunauza mayai ya kisasa kwa bei poa kabisa,
Mayai yanapatikana kwa shilingi 6800 trey moj
Endapo ukichukua zaidi ya trey 10 bei inapungua kidogo.
Njoo PM uweke order tukulete mzigo mkapa...
MKOPO! PATA MKOPO KUANZIA 1M MPAKA 2M
NDANI YA DK. 30 KWA DHAMANA YA GARI TU!
HABARI WAPENDWA, NATOA MIKOPO YA PESA KUANZIA
1,000,000/= HADI 2,000,000/= NDANI YA DK. 30
KWA DHAMANA YA GARI TU...
Wadau ninamzigo wangu wa desktop, photocopy machine, printer vyote vipya na pia vyombo used kama vile flampeni, masufuria, juicer, pasi za umeme na masiki ya toilet na vingine vingi nataka kutoa...
IMESHAUZWA
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO WENU
SIFA ZA COMPUTER INAYOUZWA
RAM: 4GB
HDD: 232GB
Processor: Duo core 2.67Ghz
Monitor: 19 inch wide
Windows 10 pro
Ipo Complete,
Bei ni Tsh 260,000/=...
Kiwanja chenye eneo la sqm 960 kipo Kinyerezi mtaa uitwao galilaya. Bei maelewano lakini ni takriban Sh 90,000/= kwa sqm moja. Kipo karibu na station ya Songas, na kimepimwa. Mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.