Nunua Computer yenye Uwezo kabla Hujaenda Chuo... Pata Laptops kwa bei Chee 0742470059
HP's EliteBook Folio is like a MacBook that runs Windows.
HDD 500GB
RAM 4GB
Core i5
Long Life Battery...
Samsung Galaxy Grand Prime Plus
*Price : 160,000/=
*Contact: 0684466579
*Simu iko katika hali nzuri sana
*SIM: Hybrid Dual SIM (Double line)
*Display: 5.0 inches
*Memory: 8 GB, 1.5 GB RAM
*CPU...
Habari!
Nyumba nzuri ya familia inapangishwa Makongo - Juu. (Daladala Dk 15 kutoka Mlimani city)
Nyumba ina vyumba viwili, kimoja master, sebule kubwa, jiko kubwa na choo cha public. Tiles...
Niaje wazee,
Nimefungua duka jipya maeneo fulani hivi, nahitaji kujua kuhusu vifaa vya kupimia pombe kali kama konyagi, nahitaji kutoa na hiyo huduma pia.
Niliviona maeneo ya magomeni pale...
Wadau habari za Jumapili, Mimi ni mkazi wa mkoa wa Mwanza. Kuna huu mradi wa maji unajengwa kutokea Igombe kwenda Ilalila, Isela, Masemele na maeneo mengine katika wilaya ya Ilemela.
Huu mradi...
Hi dears,
Nauza au tubadilishane kiwanja, plot yangu ni ndogo ina mita 10 kwa 10 ipo Kisarawe mjini, nataka nimeweka kibanda pia nipo mbioni kuvuta umeme. tuwasiliane kupitia namba hizi 0774110001
Habari wadau,nauza gari used la toyota hilux double cabin kama mnavojua kwa wataalam wa magari jinsi haya magari yanavyopiga kazi na uwezo wake mkubwa wakutumika kikazi zaidi.
Contact #+255 767...
Jamiiforums jamvi la great thinkers Naomba kushauriwa
Nataka kununua gari ya kutembelea isiyozidi M 6 Ila isiwe vitz,passo,.
Ushauri mwingine naomba kujua kuagiza gari used Japan na kununua...
Waungwana nina Xbox one ambayo kwasasa inatatizo. Tatizo lake ni ukibonyeza button ya power inakuwa on kwa sekunde chache, kisha inajizima kabla haija anza play. Naomba kujua wapi nawezapata...
KATIKA MSIMU HUU WA SIKUKUU ZA IDD TUNAKUSOGEZEA KARIBU YAKO*
*JIPATIE NAFAKA ZENYE KIWANGO BORA KABISA* 🌽🌽🌽🌾🌾
@ *MCHELE SUPER KUTOKA MBEYA TSH 1800/KG 🌾🌾🌾
@ *MAHARAGE SAFI YA NJANO TSH 1800/KG...
Nauza fridge yangu
ninayotumia mwenyewe nimetumia yapata miezi 8 hadi sasa...bado iko makini
Ni fridge ya saizi ya kati..mlango mmoja
Picha itajieleza zaidi hapo chini...
Bei 235,000
#0654715457...
*SHAMBA LENYE KILA KITU NDANI*
.
.
*NYUMBA YA KISASA YENYE KILA KITU*
*NYUMBA ZA KOTA 4 SELF CONTAINED*
*SHAMBA LINA EKA 45, KATIKA IZO EKA,KUNA EKA 2 MITI AINA YA MIKARATUSI NA EKA, EKA 2.5 MITI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.