Habari!
Viwanja vinapatikana, Madale Mbopo (Mwendo wa DK 30 kutoka Round about ya Madale). Viwanja vinapimwa kuanzia Square Meter 20x20... Bei kwa kila square meter ni sh 13,000/ TZS.. Mteja...
Habari wakuu.
Ninauza kiwanja changu kilichopo eneo linaitwa butiama (sehemu maarufu kama kinondo) ndani ya kata ya mabwepande.
Lipo umbali wa kama km 10 kutoka Bunju A. Bado hapajapimwa lakini...
Habari zenu Wakuu,
Ninauza modem ya halotel 3G bado mpya kwa Tsh 20,000/- (ingawa inauzwa Tsh 30,000/- dukani), sababu kuu ni kuwa nimenunua simu yenye uwezo wa 4G ambayo naitumia sana kwa sasa...
Habari wanajf
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji roommate wa kike tushee room pamoja ili kusave gharama za kodi
Room ni nzuri na standard
Mhusika akiwa hana vitu vingi au hana kitu...
Jumuika nasi tarehe 12 August 2019 kwa ajili ya safari ya kwenda kuwaona dolphin wakiwa baharini na kuogelea nao 😃
Makutano ni Forodhani Park, Zanzibar saa 1 kamili Asubuhi!
Bei ni 25,000 tu kwa...
HABARI WADAU, KWA YEYOTE MWENYE UHITAJI, NAUZA LAPTOP AIN YA HP PRO BOOK
SIFA ZAKE
- CORE i5
-HARD DISC GB 500
-RAM GB 6
-PROCESSOR 2.53GHZ
-WEBCAM
-CD/DVD RWR
-BADO IPO KATIKA MAZINGIRA MAZURI...
Offer ya jumapili hii.
Kama upo mbeya na wilaya jirani.
Used Hi-fi Kodtec subwoofer yenye speaker 2 (range).
Kwa 90 tu + free delivery mbeya mjini.
Njoo uione ipo KABWE
Habari wadau, nina uhitaji wa cabin complete ya scania g420 highliner haraka.Ama kama unaouwezo wa kuiimport pia ni sawa.Kama unayo ama unaweza basi kuiagizia nitafute tuongee vizuri 0715436360
wadau ninauza tv yangu ya inchi 24 kwa laki 2 (200,000tsh) .Kampuni ni homebase.Iko vizuri haina tatizo lolote.Iko dar kigamboni.Kama utakuwa interested nicheki kwa 0715436360
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.