Kuku aina ya kuroiler wana miezi minne sasa nawauza kwa mtu yoyote anayetaka kufuga nichek bei sawa na bure 10000 tu.
Wapo kuku 20 wanachanjo zote.
Nichek kwa namba 0759870104.
Nipo Bunju B...
Ipad Air 1
Simcard Support-4G/LTE
16GB Storage
Updated to latest iOS
Retina Display
Comes with a charging cable
Price: tsh.440,000/=
CALL/TEXT 0738251918
KARIBUNI BBS TRADERS ,
**DUKA LA VIFAA VYA UJENZI** (BUILDING MATERIALS)
Mahali: Kariakoo, mtaa wa Nyamwezi na Lindi
**Tunauza vitu vya ujenzi , finishing materials, na kadhalika. **
Baadhi ya...
Haya Sasa wale mabigwa wa kuuza Tv vica eletronics wanatuletea ofa Kabambe,
Star x inch 32.
-Full HD.
-2 ports HDMII.
-2 ports USB.
-VGA slot kwa ajili ya computer.
-2 Av cable slots.
-12 dc...
Tunakuwekea system ambayo ni ndogo na bei rahisi,tunakupa guarantee 10yrs na ni uhakika system inafanya kazi zaidi ya miaka 50,tumekufikia dodoma pia baada ya kiwa Dar na Mwanza.
Karibuni,ushauri...
*BRAND NEW TECNO CAMON X PRO*
BLACK
FINGER PRINT
64GB
4RAM
20MP FRONT CAMERA
16 MP REAR CAMERA
BETRY 3750
PRICE 450,000/=TSH
*Kwa wale wale SELFIE wanaopenda camera hii syo amu ya kuacha BETRY...
Plot/kiwanja chenye ukubwa wa 20×60 (1200 square metres) inauzwa madale karibu na secondary ya mbopo
Umeme na maji vipo
Gari linafika hadi kwenye plot
Kipo flati kabisa
Bei Tsh 14 million...
Heshima kwenu wakuu.
Naulizia simu tajwa hapo juu Samsung Galaxy Note 8 naomba kujua bei yake kama ni mpya au used it's okay, ila ikiwa mpya itapendeza sana location nipo Dar wadau.
Natanguliza...
nauza shamba langu lina ukubwa wa hekari 5.5 ila ntakadiria ni 5 heka bei ya kila heka ni 1200000 kwa hiyo kwa heka 5 ni sh mill6 kipo barabarani njia ya kwenda shungubweni au boza
kinafaa kwa...
Wakuu naishi Kibaha, Mkuza Nina ndugu yangu mpenzi sana wa mashati ya batiki na vitenge. Tafadhali kama kuna yeyote ana fahamu yanapopatikana anijuze tafadhali na bei yake. Yawe yameshonwa vizuri...
Amani kwenu wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivyo, inahitajika Toyota Hilux D/cabin (mpya/nzuri) kukodisha kwa mda mrefu.
Kwa yeyote anayefahamu kampuni ninayoweza kupata gari hii naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.