Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Waungwana nawataarifu kuwa yeyote mwenye ujuzi au utaalamu wa kutengeneza waterdispenser ya mfumo wa maji moto sana na maji baridi sana,tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu... Naomba ambaye ni muuzaji wa vifungashio vya vichupa kuanzia gram 80,100,250 na kuendelea naomba tuwadiliane..au Mtu ambaye añae fahamiana na muuzaji naomba unijuze.. Mfano wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je unahitaji king'amuzi Cha startimes? Basi kwangu umepata... Ni king'amuzi Cha antenna na kinaonyesha channels zote local... Kinapatikana kwa Bei ya tsh 45000 tu... Nitafute kwa namba 0654388979...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KARIBUNI BBS TRADERS , **DUKA LA VIFAA VYA UJENZI** (BUILDING MATERIALS) Mahali: Kariakoo, mtaa wa Nyamwezi na Lindi **Tunauza vitu vya ujenzi , finishing materials, na kadhalika. ** Baadhi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, habari ya asubuhi? Shida yangu ni kwamba dispense yangu haipoozi. Maji ya moto ninapata vizuri tu ila sehemu ya maji baridi ndo tatizo. Ninaishi kimara bonyokwa. Fundi anayeweza kulitatua...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Gari iko vizuri Njoo uione ujiridhishe Muuzaji ndio mmiliki haina udalali. Bei inaongeleka Mazungumzo yote kwa simu tafadhali 0717221222. Milioni Tano (5,000,000)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Toyota vitz iko poa kama inavyoonekana kwenye picha ... imetunzwa vizuri sana,seat cover,full ac,tyre ziko poa
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa mkopo mrahisi wenye riba nafuu zaidi usio na ubabaishaji wa aina yoyote ndani ya dakika tano ,Tala ndo jibu lako Cha kufanya ingia playstore kisha pakua app ya Tala Tanzania Baada ya hapo...
0 Reactions
35 Replies
75K Views
Wakuu nataka nishushe chuma cha 2009 watoto wa majini wanalita tako la Nyani Huku Wajapan wakiliita Toyota harrier Hili ndinga thamani yake ipo vipi nitakapo pishana na wauza poda wenye V8...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello guys 👋👋 Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji studio ambayo bado wanasafisha picha za negative/mkanda kama zamani. Muhimu sana jamani so kama kuna sehemu/mtu unaemfahamu hapa Dar...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wapendwa, natafuta msichana anaejua kusuka mitindo yote na kushonea Weaving.. SALOON ipo SINZA KWAREMI.. napatikana kwa namba.. 0693220306
0 Reactions
2 Replies
481 Views
Habari wapendwa, natafuta msichana anaejua kusuka mitindo yote na kushonea Weaving.. SALOON ipo SINZA KWAREMI.. napatikana kwa namba.. 0693220306
0 Reactions
0 Replies
280 Views
"Asalaam alaykum warahmatur-lah wabarakatuh" Baada ya salam sina Budi kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na mwenye kurehemu , Mimi sina mengi ila Nina machache yenye faida kubwa sana ndani...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wapendwa, natafuta msichana anaejua kusuka mitindo yote na kushonea Weaving.. SALOON ipo SINZA KWAREMI.. napatikana kwa namba.. 0693220306
0 Reactions
0 Replies
332 Views
najua wakati mwingine ni vigumu kupata muda wa mazoezi kutokana na ubusy wa kazi,lakini sasa itabaki kuwa uamuzi wako jitahidi upate angalau dkk 30 kila unaporudi au kuamka asubuhi kwa sababu...
1 Reactions
0 Replies
805 Views
TV 3pcs MODEL: STAR X SIZE: 43'' PRICE: TZS 600,OOO each. LOCATION: KENYATTA RD, MWANZA. CALL 0655736765. also WHATSAPP
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kama kichwa cha habari kinavyo someka nahitaji pilipili Kichaa, ziwe kavu weka kiasi ulicho nacho tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
923 Views
Jenga bio digester kwa 1.2m only, vifaa vitakavyotumika ni juu ya mteja na utanunua popote unapotaka chini ya usimamizi makini wa kampuni. Dhamana miaka 5 Faida 1.Hutumia eneo dogo 2.Haihitaji...
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Back
Top Bottom