Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau, Nauza PC yangu,iko poa kabisa HP 500b micro tower 2048 MB -2gb Hard disk 320gb Bei:150,000 maelewano ruksa Njoo pm.tumalizane fasta
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF nimeuanzisha huu uzi makusudi kujua bei ya vifaa mbalimbali ya ujenzi wa nyumba naomba tuwe tunaweka bei ya vifaa tofautitofauti kusudi wanayojenga kwa awamu wajue pa kuanzia Mod naomba...
1 Reactions
167 Replies
112K Views
Habari wadau, pole na mihangaiko nafikilia kuanzisha biashara ya car wash japo inachangamoto kwani umekuwa nyingi na bei imeshuka ila ntakomaa naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa kazi hyo 1...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Advance after market Body kit Blogs coil cover suspensión Volks 18" rims Brembo brakes Turbo time gauge Turbo boost gauge Mashroom aje intake Manual gear box 6 speed Fiber spoiler wing...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wadau, Natafuta zaidi ya tani 50 za mianzi (Bamboo) kutoka sehemu yoyote Tanzania Bara. Kwa mwenye kujua mianzi inapatikana wapi kwa wingi niko tayari kuifata hasa kwa maeneo ya Dar es...
2 Reactions
58 Replies
11K Views
Habari zenu wadau! Kama kichwa kinavyosema, ni kwamba kuna pikipiki inauzwa kwa Tsh 2,300,000 tu. Ina muda wa wiki mbili toka inunuliwe. Napatikana Arusha kama utahitaji ni pm
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Samsung flat Tv inauzwa na wale wale wazee Wa kujidakisha Najidakia store mbezi beach njoo ujipatie Vitu Kwa bei rahisi Tv inchi 50 Kwa million moja na Laki moja tu njoo tuongee 0762612213
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Dear members. I am urgently looking for two candidates to work as quality control chemist in a soft drink manufacturing firm . Qualification: Bsc. Food Science and Technology Fresh graduates...
0 Reactions
1 Replies
400 Views
Njoo agiza nasi sasa bidhaa yako uipendayo kwa bei nafuu kabisa. Tupo magomeni mapipa mkabala na kituo cha mwendokasi, Jengo la Rubeya, Floor ya kwanza. MAWASILIANO 0767362849 0676648992...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Chuo cha kilimo na mifugo Kaole Bagamoyo kimeanza kupokea maombi ya wanafunzi wanaotaka kujiunga na kozi mbalimbali za mifugo na kilimo kwa ngazi ya cheti,VETA na Diploma Tunapokea wanafunzi...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji Landcruiser 1Hz Series iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni mbili na nusu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji contena la 20 ft. Kwa mwenye nalo tafadhari tuwasiliane kwa 0712 668190 haraka. Napatikana mbezi ya kimara dar.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii ni kwa wajasiriamali wa kutengeneza mifuko mbadala ya karatasi (kaki).....na vifungashio... Tunasambaza materials kwa bei nafuu zenye kukupa faida kubwa... Tunazo Gsm 70,Gsm 80,Gsm 90 na Gsm...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima Naomba anae jua wapi naeza nikampata fundi wa kusokota dreadlocks Kwa wanaume mkoa wa singida Ukiniambia Na bei na contact zake itakua vizuri zaidi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam, Kiwanja kinapatikana kitunda, Mara tu baada ya kuvuka reli kituo kinachofuata. Kiwanja kina ukubwa miguu 25*27 Kina msingi wa nyumba tayari Kipo umbali wa meter 500 kutoka barabara ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sabalheri wakuu, Nahitaji fundi mweledi wa kupaua nyumba kwa mtindo wa MONOPITCH kwa bei nzuri (?nafuu?). Nina ramani/michoro tayari - ni nyumba ya makazi. Eneo ni Kigamboni, Dar es salaam...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Wakuu nina hamu sana na nyama ya swala. Je inapatikana wapi hapa Dar?
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Jamani ninakiwanda cha mifuko yakaki (vifungashio)naomba msaada wa mtu anaejua machine ya kuunda mfuko wenye mbavu na kitako kwamawasiliano no 0714532520
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Nyumba nzuri inauzwa. Mwanzoni ilikuwa 100m ila kwa sasa ni 50m. IPO Kivule fremu kumi maeneo ya jirani na stendi Ina vyumba vi 4 - sebule, dining, study room, stoo na jiko vyote vipo. Eneo ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom