Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
KITABU CHA MASUALA YA GREENHOUSE SASA KINAPATIKANA Habari wajasirimali wote na wanajihusiha na kilimo cha kisasa na wanaowiwa kujihusisha na kilimo cha kisasa hasa Greenhouse/Nethouse , sasa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavojieleza naulizia kwenu wadau kama kuna MTU anafahamu Herbicides spesho Kwa ajili ya kuua nyasi Na magugu kwenye pamba anisaidie nimechoka kupalilia Kwa jembe LA mkono...nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Natumai ni wazma ...Jipatie viatu vya kike na vya kiume kwa bei nafuu kwa bei ya sh 12000..karibuni
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Nauza kiwanja kipo kisongo Arusha! Km 6 kutoka Arusha airport na 500m kutoka barabara kuu ya Ars-Dodoma -ukubwa 110mx 30m -Bei 25milion Hakina dalali No. 0762436011
0 Reactions
2 Replies
2K Views
BEI IMESHUKA ZAIDI nyumba inapatikana mtoni kijichi karibu na maghorofa ya jwtz. MAELEZO husika. 1. ina vyumba vinne na vyote ni master bedrooms. 2. ina chumba cha kufulia 3.ina chumba cha...
7 Reactions
75 Replies
12K Views
Wakuu, Natafuta Kiwanja maeneo ya Goba, kisiwe umbali unaozidi kilomita tatu kutoka barabara inayoenda Mbezi Mwisho. Kisipungue ukubwa wa square metre 900, buget yangu ni milioni 15. Madalali...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
  • Closed
Nawaamkia wanajamii forum. Kama ulikuwa na hamu ya kumiliki gari, nafasi hii apa. sina mengi nipo Dodoma nauza gari langu T 456 BEA, M5 Gx 100 kwa shilingi 2.7 milioni. Gari lipo vizuri...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
habari wakuu natafuta mashine ya kufyatulia matofali nahitaji kujua bei zake ile ya umeme na isiyo ya umeme nahitaji kwa haraka mwenye nazo naomba anijulishe bei tukiafikiana ninunue
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ili biashara yako iwe na muonekano thabiti unahitaji kuwa na akaunti za biashara,wajasiriamali wengi ,wanachanganya biashara zao na maisha yao,akaunti ya biashara hiyo hiyo inatumika kwa mambo...
2 Reactions
0 Replies
635 Views
Wakuu naomben msaada namna ya kulipia tangazo instagram kwa sababu kila navojarib kulipia kwa mpesa mastercard naambiwa mm sio admin wa hiyo account, naombeni ambaye anajua anisaidie
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kutana na mafundi bora wa friji,a/c za magari,a/c za majumba pamoja na umeme kazi zetu ni uhakika bila shaka tunafika popote ulipo tuwasiliane kwa namba 0713230547(Haji)au 0717227054(Victor)
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Mwenye kuhitaji pikipiki au nikamchomolea vifaa vyovyote anavyohitaji vya pikipiki ya Mahindra tuwasiliane tafadhali
0 Reactions
9 Replies
1K Views
MATUMIZI BORA YA ARDHI NA MAJI KATIKA KILIMO CHA UMWAGILIAJI Engineer Octavian J Lasway Irrigation and water Resources Engineer +255763347985/673000103 UTANGULIZI Nchi ya Tanzania ni...
5 Reactions
6 Replies
9K Views
Haya nucheck 0674916716
1 Reactions
0 Replies
501 Views
Nauza Gari aina ya Toyota Passo kama maelezo ktk Picha yasemavyo....
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Mint condition, Low mileage (79644 km), Navigation tv, Drives perfect. Imported (Used abroad only.) Contact: 0786987248 / 0765072175 (Whatsap zipo)
0 Reactions
1 Replies
963 Views
Engine capacity 990cc Colour wh ite pearl Mileage 87575 Number DCE Ina minor scratches upande wa kushoto ilipigwa pasi na bajaj. Bei 5.7 mls 0620775877
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Bei -7,000,000/ Km -70000 gari iko dar Pia unaweza wasiliana na mimi kwa sm # 0715591141, karibuni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niaje.. Natafuta gari aina ya Toyota Surf iwe nzima kabisa ofa yangu ni mil 15 nakuja na fundi wangu... Iwe ma hali nzuri kuanzia siti, body hadi engine... ********* ********* ******** Baada...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Solar panel mpya kabisa 100 watts inauzwa 120,000 tu inapatikana mbezi ya kimara 0674 916 716
0 Reactions
2 Replies
651 Views
Back
Top Bottom