Mimi ni mjasiriamali mdogo wa kutengeneza sabuni za mawingu au magadi za kigoma. Nimetengeneza sabuni nyingi na sasa natafuta soko kwa anayehitaji kwa matumizi ya nyumbani au hata kuuza dukani...
Wakuu nahitaji fundi wa kunifungia milango 5 ya Alminium, milango iko tayari yy anatakiwa kuifunga tu,
Pia nahitaji fundi wa kufunga kabati yale ya Kichina, nimenunua kabati na liko kwenye box...
Karibu ujipatie unga bora wa lishe kutoka AFRICA PRIDE NUTRITION FLOUR. unga wenye virutubisho vingi ikiwemo Karanga, Mchele, Mahindi lishe, Mtama, soya Ulezi, uwele, mbegu za maboga n.k..
ujazo...
Kwa mahitaji ya uuzaji pamoja na ununuzi wa nyumba,viwanja,yard, maeneo ya biashara na makazi nk
Maeneo ya Dar es salaam pamoja na Dodoma wasiliana nasi.
Kwa maongezi zaidi wasiliana nasi kwa...
Location:Nyanguge ni barabara kutoka Mwanza mjini kwenda Musoma km 30 kutoka Mwanza mjini
Lifaa kwa ujenzi wa shule,hoteli,ufugaji nk.
Pana mawe tripu 200
Pana Nyumba vyumba vitatu kama stoo
Pia...
Wasalaam
Uendeshaji wa biashara yoyote pamoja na mradi wowote huwa unahitaji mpango biashara au 'Project Proposal' ili kuyafanikisha malengo uliyojipangia kwa ufanisi.
Tunatoa huduma ya kuandika...
Hello
Natafuta muuzaji wa vitu vya watoto
Kuanzia
>>equipments za watoto wachanga
>>Furnitures
>>vinguo vya vichanga
>>Trollies
>>Toys etc
Please awe ni muuzaji wa jumla nahitaji kwa ajili ya...
Make : Toyota
Model : Premio
Year : 2003
Mileage:67,000km
Cc: 1790,1zz vvti
Full AC
Mint condition
Price: 11 Milioni
Call:0679531937/0754405179
GARI INAMUEZI NANE TU TANGU KUSAJILIWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.