Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa mweny non hosted adsence account iliyotoa, karibu tufanye biashara pesa ipo ya kutosha
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba kwa mwenye kujua duka la dawa wanapouza viagra hapa Arusha anielekeze
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Haina tatizo lolote, haijawai kufunguliwa, haijawai kwend kwa fundi, ina 4g, ina laini mbili, ina internal 32 gb ina ram 3gb, inakaa na charg bei ni 220000 maelewano yapo. Napatikana mwanza...
0 Reactions
5 Replies
886 Views
Natoa huduma ya kuomba nafasi za kusoma chuo (online application) kwa popote ulipo nakuhudumia na pia kama unashida ya kuomba loan board karibu, gharama kwa mtu mmoja ni 30,000 tu. Pia tunatoa na...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Imetumika miezi 8 Ina box na charger, Earphones zilipotea Ni Gold Ina cover na protector nzuri kabisa Bei 770k kuna maongezi pia Nina shida na pesa sana Battery health ni 78% 0738854581
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Habarini. Subject inajieleza. Kwa mafundi tiles na wale wabobezi wa masuala ya 'tiles'.. napenda kufahamu yafuatayo; 1. Faida na hasara za kutumia 'skating' za mbao badala ya kutumia zile...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau Habari za Majukumu.Samahani natafuta Gearbox cover ya Mazda Titan Dash
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Habari wanajamii, ninapenda kuwataarifu kwamba kwa yeyote anayehitaji power auger yenye uwezo wakuchimba kina cha 10miters, mashine hii ni nzuri kwa watafiti wa madini, wajenzi wa barabara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani nina shamba la pili pili mbuzi, zipo tayari kwa kuvunwa, naomba kupata soko lake na bei
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Tiper fusso mingnon engine d16 single diff tairi 4 nyuma bado ipo ktk hali nzuri inatembea, bei mapatano kwa maelezo zaidi piga 0754403390
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau kama kuna MTU anahitaji strawberry kwa bei ya jumla awasiliane nami ninazo za kutosha 0769 269630
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Kama kuna mtu au mahali inauzwa Toyota Carina TI jaman natafuta iwe kwenye hali nzuri!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bei ni milioni 8.8 ( milioni nane na laki nane) maongezi yapo kidogo Gari haijawahi kupata ajali wala kuludiwa langi Full vibali Full A/C Full documents Tairi zote nne ni mpya pamoja na spear...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau, jamani namiliki gari tajwa hapo ( Daihatsu Sportrak aka ROCK yenye engine HD) sasa inasumbua injini shaft, mikono, ring piston e.t.c Nataka kufanya overall kwa hiyo natafuta hizo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hi Great Thinkers Kama Bandiko Linavyosema Mwenye Nayo Anijuze Nahitaji Mara Moja Hata Ya Maruti Suzuki Pia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau salaam..natafuta engine ya Land Cruiser Prado complete na gear box yake. 1KZ au 3RZ.Kama kuna mtu anayo pls tuwasiliane kwa namba 0656666666.Asantenii
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta Engine ya Mitsubishi Pajero 4M40 turbo change intercooler, kama unayo tuwasiliane
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari wana jamvi! natafuta engine ya Toyota dayna (engine 14b) mwenye nayo anitafute 0715805600. my offer ni 5m
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Maelezo: Nyumba inapatikana mwanagati, (wilaya ya ilala) Nyumba ina vyumba vitatu ( 1 self contained) Ipo ndani ya fensi Ina maji na Umeme Eneo ni sqm 625 (25*25) Eneo limesharasimishwa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Naitwa Nickson naishi dar es salaam maeneo ya tabata, Nina shida na pikipiki yaani niingie na mkataba na bosi atakaye ninunulia ntakuwa namlipa kwa wiki 70,000/= baada ya mwaka inakuwa yangu...
2 Reactions
32 Replies
8K Views
Back
Top Bottom