Tunauza Kuku Wa Kula ama Kufuga kwa Bei Nafuu kama Ifuatavyo:-
1. Aina ya Kuku – #Sasso
Uzito – 2Kg+
Umri Miezi 3-4
Kabila – CHOTARA
Bei : Tsh 10,000/-
2. Aina ya Kuku – #Kuroiler
Uzito –...
Ni earphone zisizo tumia waya. Zinaendana na simu na tablet za sumsung na iPhone, iPad. Epuka usumbufu wa kujivika waya ndefu pasipo lazima. Zinafaa sana kwa watu wa kawaida, pia madereva wa...
This car is for sale. Automatic , petrol transmission 1996 model v8 . Its well mainted get it for just 19ml
ABOUT ME!
For More Information Please contact :
Call: +255782839988
Whatsapp...
Habari za saa wapendwa,
Husika na mada hapo juu, Kuna mzigo wangu (Academic letter) iko Mwanza (Nyamagana,Iseni), nahitaji kuisafirisha hadi Tanga (nilipo kwa sasa).
Nimeona kuwa kusafirisha...
Hello wadau wa Jamii Forum.Mimi nina Tax consultancy Firm yangu ni mpya nimeaianzisha hivi karibuni,naomba watu wenye kampuni ndogo ndogo wanaohitaji huduma za kodi wanitafute hata mwenye uhitaji...
Mtungi wa kujazia upepo unazwa..
Umetumika mwezi mmoja tu
Una coper na sio alminium
Ukinunua unapata na hydraulic pipe na gun bure ..
Liter 100
Bei ni milioni moja na elfu hamsini tu
Call 0659204046
Habari zenu wana jamvi DAR-MAID CLEANING SERVICE (huduma iliyosajiliwa na yenye bima kwa wateja)
tunatoa huduma za usafi wa majumbani kwa bei nafuu mno. Bei zetu zinaanzia 8000 -mpaka 19000 tu...
Nauza kabati la vyombo full mninga. Urefu na upana foot 6. Unene (thickness) centimeter 48. Ni piece 2 kwa urahisi wa ubebaji na usafirishaji. Bei laki 4 tu. Bei ya dukani si chini ya 1.5mil. Kama...
Habari za wakati huu;
Je wewe ni mjasiriamali mdogo na wakati?
Je wewe ni mjasiriamali unaeanza biashara?
Je unahifadhi vipi taarifa za biashra yako
Je unafuatiliaje utendaji wa Biashara yako...
Pine disinfectant ni sabuni ya kusafisha vyoo na kuondoa harufu kali za chooni na pia inaacha harufu ya pine ambayo inalast muda mrefu.
Penda choo chako utumie hii sabuni,hautojutia
Inapatikana...
Nauza Smartwatch yenye uwezo wa kufanya yafuatayo:
-Ni touch screen yenye size ya 1.54 TFT"
-Ina camera unaweza kupiga picha ukiweka memory card.
-Ina uwezo wa kuweka simcard na memory card...
Lina umeme, maji ya bomba pamoja na visima vya maji ya ziada, kuna nyumba mpya ya kuishi, kuna mabanda mazuri ya mifugo, miti ya matunda, ardhi nzuri kwa kilimo chochote, bei poa 0620570383
Je umewahi kukumbana na kadhia kma uchafu, kunguni, Kelele,bei ghali ya vyumba, umbali mrefu kwenye vyumba vya kulala wageni (guest house)? OGAH room's inakuwezesha kufanya booking katika vyumba...
Naitwa Mr Johnson ni manager wa kampuni ya uuzaji na usambazaji wa maharage quality beans tunapatikana Arusha Tanzania week oder yako Sasa tuna kufikia Hadi ulipo karibuni sana
Wapendwa natafta soko la alizeti, nnagunia 100,hpa singida gunia elfu 50,kwa anaehitaj au anaweza niunganisha na mtu anitafte kwa no 0766089646 ,ANIPIGIE KWAKUA SIWEZ KUREPLY MESSEJ HUMU, BADO...
Wakuu habari za muda huu,
Tunasambaza miguu ya ng'ombe,mkia,na ulimi, kwa wafanyabiashara wa kuuza supu kwenye mahotel na kwenye mabaa,bei zetu ni
miguu minne ya ng'ombe sh.18000
ulimi sh.6000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.