Kwa mahitaji ya kufungiwa mfumo wa kisasa unao jiendesha wenyewe katika mfumo wa kidigitali katika kumwagilia,kudhibiti joto,mvuke na hewa katika nyumba za kuoteshea mazao.
*Mfumo unawezesha...
Mimi ni mwanafunzi wa Sua nauza miche ya mipera, miembe, michungwa , ndimu na kadhalika
Nakusafirishia popote ulipo...gharama ni constant ila usafiri maelewano
Kama kichwa cha habari hapo juu nauza ubuyu kilo moja 1500 kokote unaletwa piga simu 0674513388 na choya au arozera debe moja 20000, kilo moja 7000 piga simu nikuletee mahali ulipo
Habari
Tafadhali, kwa wanaofahamu kuhusu soko la mafuta ya Nazi, zaituni na mawese, bei zake za jumla na reja reja, mahala pa kuuza hizi bidhaa na uhitaji wake katika soko.
Shukrani!!
Samsung A30 Ram 4GB na memory 64GB inauzwa imenunuliwa dukani tarehe 12 jun 19 Kuna mtua aliitaka nimtumie huko mkoani ila ana maelezo mengi sana. Simu ipo mbezi Luis hata kujaribu tu kuweka laini...
Wakuu kuna mtu yeyote anayeuza vitenge humu? Halafu bei za hivi vitenge zikoje mana nimejaribu kuchungulia huki insta naona vinauzwa 35,000 ina mana hamna vya bei ya chin i ya hapo??
Na quality...
Kigali-Guangzhou is one of the three new routes Rwanda’s national carrier had planned to open in a space of three months having already launched flights to DR Congo’s capital of Kinshasa. The...
Nimekuja kwenye jukwaa hili sbb linapitiwa na watu weng ili nipate msaada wa haraka,
Naomba kujuzwa ni wap kwa dar naweza pata juice dispenser mpya za mitung mitatuna aina hiza za refrigilator/...
Wakuu nahitaji ushauri juu ya hizi smart TV, upande wa ubora wa picha, uimara, na sauti, TV ninayohitaji ni Nchi 43! ushauri uzingatie hapo!
Aini hizi ndio ninazohitaji!
1)Boss,
2)TCL,
3)EVVOL...
Habari zenu ndugu zanguni, nna miezi sita sasa tokea nipoteze kazi ya kuajiriwa, ndugu yenu kwa sasa napitia kipindi kigumu sana ukiangalia nna familia inayonitegemea, hali yangu kimaisha sio...
Habari wanaJF mimi ni mfanyabiashara wa kutengeneza masofa natafuta mafundi wawili wa kuvesha makochi na wakushona vitambaa vya makochi mwenye ujuzi huo tafadhali anipigie kwa namba hii 0768078727...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.