Habari,
Kuwa wakala wa tollofy application na upate asilimia 40 ya malipo chini ya kampuni ya Tollofy Technology Company Ltd.
Tuma maombi yako kwa Whatsapp kwa kuandika jina lako kwenda namba...
Habari;
Je wewe unapenda kuwa muwekezaji katika startups?
Je una uwezo wa kuwekeza kati ya TZS 25000 kwa mwezi hadi TZS 150,000 kwa mwezi?
Je unaweza kuwekeza kiwango hicho cha Pesa kwa kipindi...
Habar km kichwa cha habar kinavyojieleza. Mm ni mdada wa miaka 22 natafuta eneo lenye mzunguko wa watu especially wadada tafadhali kwa alieona au anaefaham sehem kama hiyo tafadhali nsaidie...
#Je unahitaji kuandikiwa Business Plan?
#Je unahitaji kuandikiwa Business Proposal?
#Je unahitaji ushauri wa biashara (Wazo, Biashara inayoanza, biashara ndogo na biashara za kati)
Wasiliana...
Wakuu habarini za majukumu!
Ukiona mtu analia ujue kuna jambo. Naleta kwenu ombi la msaada ili nipate angalau unga wa kula ili familia yangu nayo isherehekee sikukuu ya idd kama familia zingine...
Laptop kutoka Dubai mzigo umeingia njoo ukague jibebee yako
ram 4 Gb HDD 500 processor i5 Kwa Laki tano kila moja bei inapungua kwa serious zipo piece 20 sifa nyingine kuu kioo chake unaweza Ku...
NAUZA PRAWNS FRESH KILA SIKU MPAKA KUFIKIA SAA SITA MCHANA .
BEI INATOFAUTIANA KUEINDANA NA SIZE YA PRAWNS.
MWENYE UHITAJI TAFADHALI WASILIANA NAMI KUPITIA NAMBA 0763221924
WEKA ODA YAKO MAPEMA ...
TYPE:TOSHIBA RAM:4GB STORAGE:500GB PROCESSOR:1.73GHz PRICE: 600,000 WITH BATTERY(battery 2.5hrs) 350,000 BILA BATTERYMachine iko vizuri kabisa nakupa na risiti bado iko kwenye warranty...
wakuu nimekuja kwenu natafuta geti kama kwaajili ya flemu za duka pia ambaye anauza nivizuri angetoa na bei yake flemu zenyewe zina upana wa futi sita na urefu wa futi Tisa.
Wakuu salaam zenu.
Natafuta miche au mbegu ya Minazi Mifupi ya kisasa.
Ile minazi inayoanza kutoa nazi ikiwa ni mifupi kabisa.
Mwenge kufahamu inapopatikanika hiyo miche au mbegu anifahamishe...
Nahitaji line ya uwakala ya MPESA, Kwa haraka sana. maana niliyokuwa natumia imepata matatizo, wateja wangu wanalia.
Mwenye kuweza kunisaidia tafadhali.
Mawasiliano PM
NAUZA KIWANJA CHANGU MBEZI MSUMI CHENYE UKUBWA WA 21 X 20.
NISEHEMU NZURI YA KUJENGA NA KUHAMIA, UMEME UPO NA
PANAFIKIKA KWA GARI BILA SHIDA
BEI NI MILLION 7.5M
NICHEK 0762295954 KWA MAELEZO ZAIDI
Mfano ndio uooo....
Bei 1000-1500...zpo nyinge ainayoyote utakao..
Napatikana dar bakresa balabala ya mdizin...
Ni basically blowse za kike
Namb-0688674585
Tunatoa huduma ya uchimbaji visima na kufanya hydrogeological survey.
Gharama ya hydrogeological survey na kuchimbaji visima kwa mita hutofautiana kulingana na umbali wa site.
Tafadhali...
Salaam wadau..nahitaji korosho.Kama kuna mtu anadeal na hii biashara au anajua mtu au kampuni inayodeal na hii biashara pls tuwasiliane kwa namba 0686 666666.Asanteni
Nauza printer aina ya HP LASERJET M127 fn, ina;
print, copy, scan, fax na wireless (e print), pia Ina feeder juu.
BEI Tsh. 450,000/=
Note: ilikuwa kwa matumiz binafsi.
Mashine nyingine ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.