Anza sasa Biashara hii uvune pesa...
Tunauza mashine za kutengezea ICE CREAM(Koni).
Gharama ni 2400000/=
Mafunzo ya kutengeneza ice cream pia utapata bure.
Ofisi ipo Airport Dar
Pm ukiwa tayari.
HABARI ZENU WAKUBWA KWA WADOGO
Jaman kutokana na Sakata la mifuko ya Rambo (plastic packings )kupigwa marufuku nimebahatika kujifunza namna ya kutengeneza mifuko mbadala kwa kutumia Brown pepa...
Unabidhaa yako leo na unataka kuitengenezea munekano bora zaidi? suluhisho lako kwa sasa ni Branding Product Package,Kifurushi cha bidhaa ambacho kinakupa vitu muhimu na vya msingi katika...
DAWA YA KUOTESHA NYWELE KICHWANI
Heroic Shampoo
(Imetengenezwa kwa virutubisho asilia kwa ajili ya ubora wa nywele)
Hakuna kitu kinavutia zaidi kama kuwa na nywele nzuri za kutosha na zenye afya...
Black in colour, namba c ni gari nzuri Na inatunzwa vzr sana na imewekwa tyres mpya kwa kuwa mmilili ni mtu wa Safari hivyo kuhusu safari hii gari ndiyo yenyewe. Full AC, full vibali na haidaiwi...
Habari wana JF. Ninaitwa George Lulabuka. Ninafuga na kuuza Samaki aina ya Sato/Tilapia maeneo ya VISIGA
Kila Samaki ana uzito wa 250g -300g (wanaingia wanne au watatu ktk kilo)
Bei ya 1kg ni...
Wadau naomba msaada wenu tafadhali. Nahitaji sana T-SHIRTS mpya zisizo na maandishi yoyote popote za aina tofauti, rangi tofauti, zenye kola na zisizo na kola, za mikono mifupi na mirefu...
Nahitaji nyumba ya kupanga Mbeya mjini. 1 umbali usizidi km 5 kutoka stendi kuu, 2. Iwe na umeme na maji, 3. Isiwe na mpangaji mwingine, 4. Vyumba vitatu vya kulala
Habari.... Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki maaarufu kama fl studio.
[emoji1428] natoa mafunzo ya kuitumia kwa bei ya 40000-50000TSH kwa muda wa siku 10 Utakuwa umejua...
Karibuni katika ulimwengu wa Mini Crystal perfumes toka UAE [emoji1256] zenye ujazo wa 25 mls
.
Perfumes za kike na kiume
Zinazotengenezwa chini ya leseni na [emoji769]️ za brand kubwa za perfumes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.