Sifa
vyumba viwilii kimoja master
Jiko
Public toilet ambayo iko ndan
Sebulee kubwa tu
Fensii na parking ipo
Bei ni laki 3(unalipa kwa miez 6)
Eneo ni Kikuyu st john
Status:Nyumba ni mpya kila...
Gari aina ya toyota carina inauzwa.....
specifications:
1. Ti carina 1998
2. CC: 1490, Engine 5A.
3. Haina AC ila mfumo wa ac upo vitu vingine vipo safi, gari haivumi imetulia barabarani.
4...
Kuna watu kama watatu nimewauliza swali km hili na wamenipa jibu linalofanana.
Wameniambia brand bora kwa sasa ni Samsung, LG na Star X.
Wajuzi wanipe maujuzi nisijenunua kitu feki
PATA TV YA STARTIME NA SOLA KWA MKOPO.
Tunatoa tv flat-screen inch 24 yasola yenye kingamuz cha ndan kilicholipiwa miaka miwili BURE+dish.solar panel ynye W30 na betr ynye uwezo wa 90W.inayoweza...
Hizi raba nilinunua kwa ajil kuvaa mwenyewe lkn zmenibana, so ukizielewa nirudishie hela
Ni namba 42 na Bei ni 20,000 tu.
Napatikana dsm mitaa ya tbt na posta.
je unahitaji kujenga iwe nyumba; gorofa swimming pool; kuchorewa ramani; kukaguliwa ubora wa jengo lako? kama jibu ni ndio basi tunakukaribisha ujenge na sisi office yetu ipo kibaha maili moja...
Hello?,
Nauza vifaa vya salon kwa jumla 780K , Sababu ya kuuza ni kushindwa kuisimamia biashara hii kutokana na shughul zangu za kila siku.
Mashine,Kiti kimoja cha kunyolea, Kiti kimoja cha...
KITABU CHA "DAMU NA MACHOZI"
:
:BEI SH 10000
:
"Mshindi wa tatu ni Patreporo Clekozik kutoka Slovenia, mshindi wa pili ni Linda Windsay kutoka Marekani na mshindi wa kwanza niiiiiiiiii! "Alipofika...
Kichwa cha habari kinahusu sisi http://www.one2onefocus.com]www.one2onefocus[/URL] tunauza viwanja vya garama nafuu kwa mtanzania wa hali ya chini aweze kumiliki Arithi
Viwanja vipi Ruvu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.