Habar zenu wakuu, mimi ni mjasiliamli mdogo, hutengeneza bites, chakula, na cakes. Ila ujasiriamali wangu hutegemea orders za wateja ndo niandae.. Napatikana mwanza.. Kwa mawasiliano zaidi...
-Raum old model
-Cc 1490
-Low in mileage
Fuel use-petrol
Mode of transmission-Automatic
-gari ni nzima na inatembea
-iko nkuhungu dodoma
BEI-4800000
nichek 0656548919
KICHAA CHA MBWA
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoitwa Rabies lyssavirus
Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa machache yanayoweza kusambaa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu...
Kutokana na serikari kupiga marufuku mifuko ya plastiki ni fursa kwako mjasiria mali kujifunza kutengeneza na kuuza mifuko maduka ya jumla na hata supermarket kuendana na fursa iliyopo karibu sana...
nauza machine ya kusagia Karanga " peanut butter" Bei ni 1.5 m inasaga gunia 2 kwa saa 1, ina motor ya HP 3 slow speed RPM 1450, ni mpya kabisa niya SIDO sio mchina. Niko mwanza Maelezo zaidi...
Asilimia kubwa ya vijana tuna stress, hasa wale tulioenda shule na kuwa na matarajio ya kua billionaire baada ya ku graduate, lakini mambo yakawa magumu, mishahara midogo, nafasi za ajira finyu...
Wadau kama kichwa cha habari kinàvyosema natafuta maderi ya kuhifazia vinywàji baridi yawe ya kuyavaa mgoñgoni au kifuani mfano kama Yale wànayouzia AZAM UKWAJU.Mwenye kufàhm yanapopàtikàna naomba...
Tunauza Mifuko Mbadala kwa bei poa
A3 @ Tsh .200
A4 @ Tsh.100
Kuanzia Pc 50 Unaletewa popote na mikoani tunatuma
Mawasilino zaidi piga/Whatsap 0692203833
Habari za muda huu wananzengo nakuja kwenu muda huu nikiwa na uhitaji wa pumba ya mahindi
Sifa za pumba
1= iwe imekauka yaani iwe kavu kabisa
2= iwe na chakula cha kutosha
3= iwe nyeupe isiwe...
Mimi ni mtaalamu wa uchenjuaji madini ya dhahabu nipo maeneo ya geita/kahama zone. Nikiwa kama mtaalamu na mzoefu wa fani hii natafuta mshirika kwenye uwezo wa kifedha tuwekeze kwenye uchenjuaji...
Wadau,
Nataka kuanza ufugaji wa kuku wa nyama mkubwa kuku 1000 mpaka 5000.
Natafuta sehemu ya kukodi kwaajiri ya kufugia, iwe na mabanda au nyumba nayoweza kujenga mabanda. nitapendelea zaidi...
Jipatie furnitures za ndani kama makabati ya kisasa ya vyombo, makabati ya kisasa ya nguo, vitanda vya kisasa , tv showcase nk nichek kwa namba 0672727316, tunapatikana kigamboni jijini Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.