Wakuu Naambiwa Maeneo Ya Kimara Temboni Imefunguliwa Bar Inaitwa 5N Kama Ile Iliyokuwepo Kimara Suca Hapo Awali. Naomba Kufahamishwa Ipo Temboni Maeneo Gani.
Wasalaaam,
Mjumbe Chama Cha Wanywa...
Habari ndugu zangu wana JF
Mimi ni Fundi mzuri Wa kujenga mabanda ya kuku Yale ya kisasa kabisa yanayoendana na aina na mazingira ya kuku kwa bei ya chini kabisa ya 30,000 kwa banda moja ukiwa na...
Laptop iko sokoni probook 6360b RAM 4GB 64bit operating system processor Intel(R) core i5 cpu@2.5GHz HDD 500 window 7 390,000 Tsh
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa
Free local chanel
HdmI cable
Av cable
Usb cable
Price 40,000/= nilikuwa nakitumia kwa antena na kinapiga kazi fresh
Note: hiyo pice ni king'amuz tu
Nipo victoria, Dar es salaam
Kama ulikuwa unajiuliza wapi naweza kuagiza vifaa vya electronic ,flat tv simu kwa urahisi na nafuu hii ni fursa yako , zmotion tunachukua oda yako na kukusafirishia mzigo wako kutoka zanzibar...
Habari wakuu,
Nahitaji mini Div player kwa ajili ya kufanya capturing ya video material kutoka kwenye mini Div kwenda kwenye external HDD. Hizi tapes zimekaa muda mrefu bila rewinding/forwarding.
Nauza sumsung galaxy tablet T555 ambayo inatumia SIM card na Wi-Fi na hivyo unaweza kupiga na kupokea simu. Ipo katika hali nzuri sana. Ukubwa wake ni inchi 9.7. RAM 2 GB, storage ni 16 GB...
•Available earphone orginal za Samsung kwa bei rahis kbsa tsh 30000
•jipatie charge orginal kbsa Type C za Samsung and ni Fast charge tsh 20000
Tupigie 0654770800
•Tunafanya delivery na mkoani...
Wadau Nahitaji PlayStation 2 haraka hata yenye pad moja,imechipiwa na ina flash.Kifupi Wezi wamenivunjia na kuniibia ofisini Kwangu Unaweza kunicheki DM au 0787249021 Napatikana tabata segerea.
Hbr wana JF,
Ninauza Photocopy mashine mpya ikiwa kwenye box lake.
Bei ni 1,750,000 tu( Milioni moja laki saba na nusu tu), nina shida ya kifedha ya haraka. Mashine ipo Mwanza, kwa aliye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.