Baada ya kuwa tumeimaliza tamthilia pendwa ya SULTAN Jana Azam TV wametambulisha tamthilia mpya ya wounded love ikiwa inausisha baadhi ya washiriki waliokuwa kwenye tamthilia ya Sultan.
Nasemaje...
Dalali yoyote mwenye nyumba yenye sifa hizi katika eneo husika kuna jamaa angu anahitaji hadi kufikia tarehe 1.
Vyumba 2 kimoja masta itapendeza zaidi japo hata Vi3 ni sawaa.
Sebule, Jiko na...
Naomba mtu anaefahamu wapi naweza kupata jiko la namna hii hapa Dar es salaam anijuze...
Jiko hili linatumia gas nq lina mawe maalumu yanayokaa mpaka miaka5.
Nimejaribu kuulizia lakini nimekosa...
habari wadau.. chumba kimoja kinapangishwa ubungo karibu na mabibo hostel..
bei elfu 60. malipo miezi sita..
kipo ndani ya fensi, umeme wa kushea na maji ya kushea bili ya
dawasco.
0692 275 229
Karibu katika mafunzo ya online ya electronics kwa lugha ya kiswahili.
Tunafundisha ubunifu wa vifaa mbalimbali vya kielectronics
Kuunda control
Timers
Digital system
Frequency device
Inveters...
Wakuu, nauza vifaa vilivyo kwenye gear box ya Rav4 4WD, Engine type 3s ya 1995
Gear box nimeishusha juzi nikapachika mpya kwenye gari yangu.
Mawasiliano: 0652902994
Nahtaji pesa ya fasta, Used 2 moths, unapewa kila kitu mpaka box,
Location, Dar
Kama unazani ni kopi au kasha tukakabidhiane POLISI ili usiwe na wasi wasi
TURN NIGHT TO BRIGHT(POLARIZED VISION GLASSES)
Ni miwani mizuri sana kwa madereva wa gari na pikipiki,inasaidia kuona vizuri usiku ukiwa unaendesha ,kwa kupunguza mwanga mkali wa taa za...
==Kitanda cha mbao (5 x 6)
==kinauzwa bila Godoro
==Kipo mbezi, luguruni
==Bei 200,000/=
Sababu ya kuuza ni kwamba anahamia mkoani kikazi.
~Karibu PM kwa mawasiliano zaidi~
Kiwanja kimepimwa ukubwa 1200 mita za mraba
Hati zake zipo
Kipo mita chache kutoka Bagamoyo road
Bei ni Tshs. 30,000,000
Piga/Sms/WhatsApp +225784252741
Kiwanja kipo Salasala Kinzudi Dar es salaam
Ukubwa == Mita za mraba 920
Umbali == Kilomita 4 kutoka Bagamoyo road
Kina hati safi
Bei == Tshs. 27 mil. (Maongezi yapo)
Piga/Sms/WhatsApp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.