Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wadau hamjamboni nyote? Kwa furaha kubwa nawajulisha kuanza Kwa makambi hapa Kanisa la Waadvetista Wasabato salasala Nyote mnakaribishwa sana Vipindi vizuri vyenye kutoa elimu zote za kiroho na...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Habari, kwa jina naitwa Anderson Mgaya ni kijana mwenye uzoefu na uwezo mkubwa katika Web Development na Application Development. Ikiwa unahitaji tovuti ya kisasa au programu itakayowezesha...
0 Reactions
5 Replies
420 Views
BEI YA KUTUPA KIWANJA 2376Sqm KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA _______ MAHALI-NZUGUNI A _______ UMBALI-8Km toka town _______ UKUBWA-2376Sqm _______ DOCUMENT-HATI _______ BEI-22M (FIXED) MALIPO YA...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
Mashine ni mpya kabisa,haijatumika. Inafaa kupiga dawa kwenye magugu na kukupiga kwenye miti (mikorosho,miembe n.k) na mazao mbalimbali kuzuia kuvu na wadudu.Na pia kupiga dawa maghalani...
0 Reactions
0 Replies
217 Views
UPDATES MAY 1,2018: Training hii ni ya bure lakini lazima uwe umejisajiri kwa maana ya SIGN UP kama member wa FXTM ambapo kujisajiri siyo lazima uwatumie.(Wtz tuelewe msingi mkubwa wa forex ni...
2 Reactions
140 Replies
14K Views
Kama mdau wa filamu na series toka mataifa ya nje kama vile USA,CHINA,INDIA nk hofu ondoa. Kama kuna yoyote unayoitafuta karibu sasa utaipa kwa bei ya kuchangia tu kidogo, wewe tu nitajie list ya...
3 Reactions
13 Replies
551 Views
Nanunua Google Play Console bei kuanzia laki 5 hadi milioni moja na laki 5 , iwe na angalau mwaka mmoja, na app hata moja ndani, No: 0718474600
1 Reactions
4 Replies
319 Views
Habari zenu wadau? Nilikuwa kwenye process za ujenzi ila kwa bahati mbaya huu mwaka sijauanza vizuri na kiukweli sioni dalili za kuendelea na ujenzi hivi karibuni naona nikiendelea kukaa na hizi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
NIWAACHIE KWA SHINGAPI SASA HII NINANJAA? NAOMBA 300K Naomba kwa hii unipe 180k IPHONE 7 PLUS naomba 220k πŸ‘†πŸ½πŸ‘†πŸ½πŸ‘†πŸ½πŸ‘†πŸ½ HIYO IMETOKA DUBAI JANA PIA KAMA ZAWADI YANGU ILA NAKUACHIA KAMA OFFA KWA...
8 Reactions
118 Replies
3K Views
Habari , kuelekea msimu wa kilimo pata mashamba heka kwa bei ya laki tatu maeneo ya wilaya ya chamwino vijijini , Pia nina viwanja dodoma mjini maeneo ya veyula vimepimwa tayari bei kuanzia...
0 Reactions
2 Replies
207 Views
Eneo lipo Mkuranga mjini-Jirani na kituo cha Mafuta cha Panoni, kama mita 600 kutoka barabara ya lami. Panafaa kwa kuweka makazi. Panafika kwa gari, umeme na maji ya Dawasco vipo mita chache...
2 Reactions
1 Replies
256 Views
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ TSHIRT MPYA KUTOKA CHINA ZINAUZWA KWA BEI YA JUMLA ZIPO SIZE MBALIMBALI KUANZIA PIECE 100 Tsh 3,400 UKIWA NA Tsh 340,000 UNAPATA BANDO LA TSHIRTS. UKIHITAJI PIECE ZAIDI YA 1000...
6 Reactions
18 Replies
733 Views
Wakuu, hoping mko salama. Nahitaji simu second hand, isiwe ya wizi, ikiwa na receipt au used toka nje itakua vema zaidi. Iwe miongoni mwa brands tajwa hapo juu. Specs 1. Resolution iwe na...
1 Reactions
2 Replies
196 Views
wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana. niko mwanza igoma bei elekezi ni Milioni moja Tsh. Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
0 Reactions
12 Replies
320 Views
Wakuu nani anaweza kunisababishia nikajua bei ya betri hizi. Na nazitolea wapi kabla sijaingia mzigoni mwenyewe huko kariakoo. Nb: niko mbagala muda huu
1 Reactions
2 Replies
264 Views
Karibu ujipatie Simu aina ya Vivo :Y85 Storage :Gb64 Ram:4Gb Display:6.26inches Price: 120000 Huawei : Y7 Ram:4Gb Storage :128Gb Display:6.26inches Price :145000 Oppo: F11 Ram :8Gb...
2 Reactions
43 Replies
973 Views
Kiwanja ni tambarare Ukubwa wa kiwanja ni square meter 1045 Mawasiliano for serious buyer 0692450861 Umbali toka Feri ni km 19 Price - 12,000,000/= Negotiable.
1 Reactions
6 Replies
360 Views
Kazi ya haraka kesho tarehe 24. Printer inajam kila baada ya kuprint page chache. Aina ni Hp Canon 404. Location. Dar es salaam ubongo. Please DM me with your quotation
0 Reactions
1 Replies
152 Views
Nauza Printer πŸ–¨ ya Epson L850 Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia Tsh 900,000 All in one printer Print,copy,scan Six color eco-tank Colored printer Quality πŸ’― Napatikana Dar, Mbweni...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu, Natafuta gari dogo, binafsi, isiwe zaidi ya cc1400, kukodisha kwa mizunguko ya Dar es salaam weekend hii. Dereva ni mimi mwenyewe. mwenye nayo nicheck whatsapp 0688180839.
1 Reactions
3 Replies
277 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…