Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Heshima zenu wakuu... Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa shule za advance zenye mchepuo wa CBG kwa hapa dar na mikoa ya karibu... Natanguliza Shukrani
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Lina piga kazi vizuri sana halijawai kuwa na.tatizo linagandisha ndan ya muda mfupi Na kina tumia umeme mdogo Location : bunju daresalaam Mawasiliano : 0744879704
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau inatafutwa nyumba ya kupanga maeneo ya makongo juu, sinza au mwananyamara - Master bedroom, sebule na jiko la ndani - Fenced - Luku + maji ya kujitegemea - Car parking 0716199297
0 Reactions
0 Replies
698 Views
ELA Lishe ni unga wa lishe wenye Afya kwa yeyote Faida yake 1)umpatia mtu Nguvu Kwa wale wanaofanya kazi ngumu au wasiojisikia kula hii *Chakula tosha 2) Uimarisha Mfumo wa Akili na Uti wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajumuiya wa JF! MWENYE NOKIA HIZI MPYA AINA YA NOKIA 3310 Naomba aniuzie! Kama unauza dondosha Comment yako Hapa Chini na Gharama Pia!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Used ila ipo kwenye good condition. price: 370,000/= serious customers 0763776305 sinza.
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Habari za leo Wana JF! Niko katika harakati za kuanza biashara ya samaki wa kukaanga kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu (Moshi, Kilimanjaro). Na kama ambavyo title inasema, ninatafuta wanunuzi wa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ndugu zangu habari za muda huu, Nilikua natumia simu tajwa hapo juu ila haikuwa ya kwangu nilizima mwenye nayo kaitaka mempa sasa nataka ninunue yangu naomba mnielekeze wapi ntaipata niko Dar
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Zinahitajika rooms 1.single matata,, 2.master 3.master iwe na sebule au jiko Maeneo kuanzia mbez beach mpaka tg/nyuki affordable price. Madalal kaz kwenu
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Wanabodi salaam Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nahitaji layers waliokaribia kuanza kutaga, wasiopungua 100. Lazima iwepo rekodi ya chanjo na tiba zingine kwa kipindi chote hadi kufikia umri...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
CAR FOR SALE MAKE ; Toyota MODEL ; Prado COLOUR ; Silver Cc ; 2690 YEAR ; 1999 NUMBER ; C ENGINE ; 3RZ PISTON ; Four IMPORTED YEAR ; 2013 MODE OF TRANSMISSION ; automatic FUEL USE ...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Kiwanja kipo ukitokea ununio ukivuka tu daraja la Jkt mbweni kiwanja kipo mita chache tu ukivuka daraja, kimefec lami na ukubwa wake ni 1400sqm Bei 150m Bei hii ina maongezi kidogo Maongezi...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Nyumba inavymba 8 na mabanda ya uwani.. size plot 700sqm Pia kuna frem moja ya duka Mita mia kutoka lami Panafaa Guest house, hostel, apartment, dispensary nk Bei 80m Bei ina maongezi japo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari Ndugu zanguni, Naomba msaada wa kujua wapi naweza kupata mashine za kusaga na kukoboa kwa gharama nafuu na zenye guarantee/warranty za kueleweka. Nitashukuru kama utainclude capacity...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
#Nyumba# #za# #kupanga# Kwanini uzunguke na dalali mtaani?na uchajiwe Pesa za kuzungushwa kwenye nyumba ambazo uzifahamu kabisa!!! Taja Sifa ya Nyumba unayotaka utatumiwa What's up Ukilizika...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau! Mimi nipo kijijini, na mayai yanauzwa kwa wastani wa Tshs 250 mpaka 300. Sasa nahitaji mtu tufanye hii biashara. Yaani mimi nimkusanyie Mayai huku kijijini, na nimpelekee mjini...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu, natafuta vifaa kwa biashara ya chips, yeyote anaeuza Mbeya mjini naomba tuwasiliane pm. Kama kuna eneo pia naomba tuwasiliane pm. Karibuni sana!
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Ndugu zangu natafuta choo cha kukodi kinachohamishwa nisaidie mawasiliano niko Dar es salaam
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Dagaa safi kutoka Mwanza wanapatikana kwa bei ya jumla. Dagaa wapo kwenye magunia yenye uzito wa kilo 40 kila moja na wanauzwa shilingi 120,000 kwa kila gunia .Mzigo upo Kiluvya. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mojawapo ya changamoto kubwa kwenye Biashara ya Saluni ya kiume ni kujua mapato halisi yanayoingia. Vijana wengi wanaofanya kazi Saluni sio wa kweli... .Anaweza kukwambia anapata20,000/=kwa siku...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom