CAR FOR SALE
MAKE ; Toyota
MODEL ; Prado
COLOUR ; Silver
Cc ; 2690
YEAR ; 1999
NUMBER ; C
ENGINE ; 3RZ
PISTON ; Four
IMPORTED YEAR ; 2013
MODE OF TRANSMISSION ; automatic
FUEL USE ...
Habari za mchana watanzania wenzangu.Ninataka kununua bidhaa kwa mtandao.Ninataka kujua jinsi ya kufanya taratibu hizo.Pia ninataka kujua kuhusu kodi zozote kama zipo.Vitu ninavyotaka kununua ni...
Simu ipo kwenye hali mzuri sana, Haina mchubuko ipo smart, Ina mfumo wa kupiga picha za HDR , SLOW MOTION, Na ina extra software ajili ya ulinzi wako tofauti na simu nyingine.
Ina tatizo la Mic...
Arusha Poetry Club wanawaalika wapenzi na wadau wa ushairi na lugha katika tamasha la ushairi litakalo fanyika katika eneo la Themi living Garden siku ya jumapili tarehe 28 mwezi wa April kuyanzia...
wakuu amani iwe juu yenu.
kaji-saloon kangu kamepata shurba kidogo katika mizunguko bodi imebonyea kiasi na rangi ya silver kuchunika! Sasa nataka nikapeleke clinic karudie mvuto wake! Wadau...
Wakuu Heshima kwenu
Nikiwa kama kijana mtafutaji, nimejibana kwa kipind kirefu nimepata 6M, nahitaji kiwanja maeneo ya mapinga hadi Zinga bagamoyo kiwe karibu na barabara kuu ya bagamoyo, atleast...
Yule anajua taasisi au kampuni yenye kunikopesha gari nzuri lisilozidi 9 nitakua narejesha kama laki 2-3 kwa mwezi. mwajiri wangu kakubari kuwa mdhamini wangu.
Hello wadau wa JF.... km kuna mwenye uzoefu na wauza magari kwa mwanza ningependa tujuzane hapa..... Nahitaji gari used iliyo katika hali nzuri kabisa kwa mil.6 , je naweza pata gari aina gani kwa...
Salaam
Kiwanja kinapatikana kitunda kituo cha Florida.
MAELEZO
kiwanja kina ukubwa wa meter 27 kwa 24 (sqm 648)
Kiwanja kina msingi tayari.
Kipo umbali wa meter 500 kutoka barabara kuu ya lami...
Hi..
Ndugu nafanya kazi mbozi mkoa wa songwe, Sasa nimekutana na fursa ya viazi mviringo kwasasa ambapo ni msimu wake, nikaona nishirikishe wadau mchangamkiee fursa
Tuwasiliane kwa namba 0744952984
Natufa chumba master na sebure maeneo ya mikocheni,mbezi beach,mwenge, Kijitonyama,
Makumbusho na msasani
Maji yawepo, na umeme wa kujitegemea . isiwe karibu na msikiti wala kanisa,kisiwe cha...
Apartment mpya na iliyo sehemu nzuri inapangishwa katika Jengo la Watumishi Housing, Magomeni Usalama. Ina vyumba vitatu vya kulala, moja ni self contained. Ina sitting room, open dining room...
HABARI WAKUU.TUNASUPPLY SECOND HAND ITEMS AINA ZOTE MF ELECTRONICS,KITCHEN EQUIPMENTS,VIFAA VYA OFISINI,VIFAA VYA MAZOEZI NK
UNATOA ORDER THEN BAADA YA SIKU 10 UNAPOKEA MZIGO WAKO
NOTE:BIDHAA HIZI...
Habarini,
Dada yangu huyu aliolewa kigoma na fundi umeme mtumishi wa tanesco kwa jina Kulwa na baadae walihamia Dodoma na hadi sasa wanaishi Dodoma.
Yoyote aliye na mawasiliano nae aniunganishe...
Sisi ni vijana Tunapambana na khali ya ukosefu wa ajira tumejiajiri kwenye hi industry .
Karibuni tuwahudumie ili kuweka ulinzi katika nyumba zenu,shule,hospital ,maduka,bar ,club,restaurant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.