Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za Leo wanajukwaa, Ni matumaini yangu mpo salama na mnaendelea vyema na na shughuli zenu za kila siku. Nimekuja mbele yenu kuwaletea bidhaa za kutibu matatizo ya vidole vilivyopinda na...
8 Reactions
84 Replies
19K Views
Kuhusu Kibaba MFS Kibaba ni Program yenye uwezo wa kurahisisha kazi zinazofanywa na Vikundi ya Kuweka na Kukopa yaani ViCoBa, MFI na Upatu. Ukiwa na Programu hii utahitaji Kompyuta au simu au...
2 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari za leo wakuu; Nina wazo la kuanzisha biashara ya ice cream maeneo ya Moshi (Jirani na Muccobs) naomba ushauri wowote wa kitaalamu kwa mwenye uzoefu na hii biashara. Pia naomba kujuzwa...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari wana jamiiforum nahitaji used viti na meza vya ofisi mwenye navyo tafadhari ahsanteni 0657784751
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnipe taarifa kwa anaejua hizi mashine zinakouzwa. Nipo dar nahitaji mashine ya size ya Kati kwa ajiri biashara ya kusindika unga wa sembe na Dona! Nazitafuta ila wengi wamenipa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Second hand good condition Clean as new 6GB RAM 750 GB hard disk 1.67 GHz processor Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Accoont inauzwa bei maelewano mawasiliano:0745257991
0 Reactions
1 Replies
611 Views
Welcome to stekdigital online shopping store which launched earlier today by young Tanzanian . Place your order any product and we will bring the products to your fingertips. Just click: Products...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Unapenda kusoma riwaya? Zenye mpango wa kipelelezi, mapenzi na visasi? Nina vitabu vitatu tofauti MIFUPA MIKAVU Tsh 13,000 LUPITA 10,000 MUUZA MIHOGO Tsh 10,000 Ukihitaji vyote vitatu kwa pamoja...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Hatua zipi ili (Muuza) aweze kufikia wa wadau kwa kutumia jukwaa la "Mitandao? Je! ipo kampuni rasmi inayopokea, kuandaa, na kuweka matangazo kwenye Mitandao? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Samsung Es55 camera 10.2megapixels condition :good perfomance:good bei 150 ,000/=contact 0687805920
0 Reactions
0 Replies
460 Views
WADAU NAITAJI VITI VYA UKUMBINI (VIPYA AU USED). NICHECK KAMA UNAVYO AU NAOMBA MAPENDEKEZO WAPI NITAPATA VITI HIVI(PICHANI) KWA HAPA DAR ES SALAAM.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari njema na yakusisimua ni kwamba Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi ambacho kimeeleza kwa undani historia ya John Gideon Okello maarufu kama Field Marshal kimekwenda kuiibua familia ya...
6 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wana JF wenzangu...napenda kuwajulisha kuwa tumefungua kiwanda cha kutengeneza mkaa wa kisasa kilichopo Mbezi Msakuzi... Mkaa huu (Jina Mkaa Maridadi) ni bei rahisi, unadumu kwa muda mrefu...
0 Reactions
43 Replies
11K Views
Wakuu ! Nina mjoma wangu umri ni around 40s alikuwa anafanya kazi kama dereva kwenye shule flan hv maarufu hapa mjini dsm akiwa anaendesha staff bus,ila bahati mbaya mwaka huu mwenye shule...
2 Reactions
0 Replies
645 Views
Bajaj aina ya TVS iliyotumika ndani ya miaka miwili tu. Inauzwa. Sh. Million 4 tu .pia bei inapungua kulingana na maelewano Bajaj hii ya bei nafuu kabisa inapatikana mkoani Tanga Wilaya ya Korogwe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu cylinder head ya hiace inauzwa nzima kabisa location kibaha bei maelewano MAWASILIANO;0745257991
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hallo JF, Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. *Prime area* Nyuma ya barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Maji ya Dawasa yako Mita 12. *NB: kituo cha basi ni Bunju-Mingoi, Njia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta kati ya gari mbili Toyota Harrier iwe engine type - 2AZ ~4WD Model type - CBA ~ACU 35W Mwaka - 2003 kuendelea Au Suzuku Escudo Engine - J20A Model type - LA~TL52W Mwaka - 2001...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana jf kama kunamtu anahitaji hilo hapo juu nifuate PM chumba na sebure kinyerezi mtaa wa kariakoo tafadhari
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom