*Kuna maji na umeme.
* Madirisha makubwa na vyumba ni vikubwa.
*Viko mtaani, dakika 5 kwenda kituo cha transfoma na usalama mkubwa.
*Bafu na choo viko ndani ya nyumba.
*Wapangaji 2 tu.
*Kodi...
kwa wale wanaohitaji kuaattach tv kwenye ukuta
tv wall mounts zipo kwa ajili yenu
zipo za saizi mbali mbali
ziaweza kufunga tv za inchi kuanzia 15 mpaka inch 65
suitable for LG...
Natengeneza power steering pump pamoja na kuuza
Gari ndogo si sana zaid ni truck
Scania zote,Daf zote,Benz ,Mann ,Iveco zote,Volvo zote ,,
China truck howo,yutong,haiger,ben ben,
Dongfeng,foton...
habari Wakuu,
Nauza Lexus is200
model year 2000
Km 170,000 (Engine nimeweka nyengine ina miezi 2 tu)
Heated seats
Semi leather
Sunroof (nimeiziba kwa gundi ya vioo)
Bei 4.5M
Eneo: Mwanza/Nyashishi mita 80 kutoka barabara kuu ya Mwanza-Dar na pembeni ya barabarbara ndogo
Ukubwa: Hekari 4
Thamani: tshs Milioni 70( pungufu unasema tajiri mzungu)
mawasiliano ...
Waungwana Habari?
Viko viwanja viwili kwenye uzio mmoja vyote vipo Mkoani Mwanza/Nyegezi mtaa wa Sweya karibu na Chuo cha Mt Agustine na mita 250 kutoka ziwani.
KIWANJA CHA KWANZA
Premises...
Wanajamvi nipo mwanza Nina bajeti ya laki nne nahitaji TV Kati ya hayo makampuni mawili kwa mwenye nayo anijulishe tafadhali tufanye biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa futi 61*61
Kipo chanika mtaa wa ngwale kilomita moja kutoka barabara ya lami.
Kiko tambalale
Aina ya udongo ni mchanga
Bei tshs 4. 5mil
Kumejengeka nyumba za maana...
Kwa wale wauzaji wa spare parts za Mitsubishi Pajero Intercooler hasa mitumba naomba tuwasiliane pm au hata jukwaani.
Nina rafiki yangu anahitaji na hayupo jf.
Endapo wewe ni muuzaji tuwasiliane...
UTANGULIZI
Je, umeshindwa kujenga Nyumba Tanzania kwa sababu uko Nnje ya Tz na umekosa usimamizi?
Kama jibu ni ndio basi hii thread inakufaa.
Thread hii ni maalum kwa wale wote ambao hawaishi...
Nyumba ina chumba na sebule,ukubwa wa uwanja 20 kwa 20mita
Eneo la kujenga nyumba nyingine kubwa na parking lipo la kutosha.
Bei 16.5m
Mawasiliano zaidi 0756060183
Sent using Jamii Forums...
Habari wandugu.
Nauza viazi ndizi na mchele . Nauza kilo mia mia ila hadi hamsini tunaweza ongea. Mchele nauza laki mbili kilo 100. Viazi nauza elfu 70 kilo100 yani gunia zima na ndizi nauza elfu...
Salaam,
BEI IMEPUNGUA SANA
Dada anashida na pesa anaiuza gari yake aina ya Mercedes Benz.
Gari haina tatizo lolote
Gari inapatikana mbezi Beach
bei ni 10M
Call: 0756 832833
N.b
MAELEZO YOTE YAPO...
Wakuu kuna mtu anahitaji nyumba ya kununua iliyokwishakamilika. Yeye akishanunua ni kiasi cha kuhamia tu. Iwe maeneo ya Mbezi Beach au Bunju.
Iwe ni ya ghorofa na bei isizidi shilingi milioni 500...
EDADE SERVICE'S inakuletea huduma za bei nafuu
Ninakodisha magauni ya harusi kwa bei chee 150,000/-. Za kuuza pia zipo kuanzia 250,000/- Karibu ujionee mwenyewe.
Ninatoa pia huduma za mapambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.