Wanajamii wa DSM,
Nawakaribisha maziwa fresh na mtindi. Ni halisi, ya ng'ombe yaliotayarishwa kwa usafi wa hali ya juu bila kuchanganywa na maji wala kitu chochote.
Ni mazuri na salama kwa...
Type PL-80-100
KVA 80
KW 64
COS 0.8
HZ 50
Volt 230/400
Phase 3
Bado jipya na halijawahi kufunguliwa engine pia Lina uwezo mkubwa kiasi cha kuendesha heavy power machines, Bank, hospitals, Hotels...
Msimu wa skukuu ndo huu punguzo la bei toka elf 15000 hadi elf 12000 wai ofa hii sasa uweze kujipatia kuku wazuri na wenye nyama kwa bei ya jumla furahia ofa hii sasa Napatikana morogoro mjini...
Kama mada inavyojieleza
Kuanzia ijumaa ntaanza kuuza dagaa wa kukaanga kwa Bei ya jumla
Ndoo la lita 20 kwa sh.60,000/-
Wale wanaohitaji waje pm ntasafirisha mikoa ya Moro na Dar.
Alaska Beverages & Co. Ltd, Dsm.
Tunatoa huduma za vinywaji aina zote katika sherehe, mikutano n.k popote Jijini Dar Es Salaam.
Bei zetu ni nafuu/maelewano kulingana na aina ya vinywaji, ukubwa wa...
Hostel mpya kwa wasichana. Iko Magomeni Kanisani (aka Morocco Hotel).
Iko eneo tulivu na salama, mwendo wa dakika kama mbili hivi kutoka kituo cha mwendokasi cha Magomeni Kanisani.
Ina uzio...
Niaje niaje wanadamu, naanzisha huu uzi ni wa best deals tu, kwa maana bei zilizoporomoka wale wenye mifuko myembamba wapate kujidai.
Dhumuni la nyuzi hii ni kuweka bidhaa legit zinaouzwa bei...
Naitaji kujua jinsi ya kuedit video Kwa kutumia Adobe premiere offer yangu ni 10k Kwa nusu saa .nipo ubungo River side . naitaji mafunzo Kwa siku tano offer yangu 10k Kwa nusu saa ndani ya siku tano
[emoji91][emoji91] *OFFICIAL SAMSUNG GALAXY TAB A 10.1 (2016, WiFi, SM-T550, 16GB, 2GB RAM, 6000mAh) INAUZWA*[emoji91] [emoji91]Check with 0762975125 --Affordable price with very good condition...
Earphone original ndani ya moshi Kilimanjaro
Ukiagiza ukiwa moshi unaletewa bure mpaka ulipo mikoani natuma pia
Jee wewe ni muhanga wa kununua earphone kila siku zinaharibika na kuchuja sauti...
Eneo: Arusha, Longido.
Ukubwa: 900 sqm
Mazingira: KinaangaliaMain road ( Ars - Namanga)
Majirani: Kiko karibu na petrol station
Bei: 6M
Usajili: Kina hati na kimelipiwa kodi zote.
Matumizi...
Achana na mambo ya kizamani kuwasha moto na mifuko jipatie vijiti safi asilia kabisa vya kuwashia moto yaan kijiti kimoja tu kinawasha moto. Utajipatia kwa bei ya jumla(750) na reja reja(1000) kwa...
Hi
Leo tujadili kwa pamoja njia ambazo unaweza ukatumia kupunguza gharama wakati wa ujenzi
1. Kuchagua simple design(avoid complex design) au tuseme chagua ramani nzuri na rahisi haina...
Wakuu, salaam!!!..
Ninahitaji engine ya Landrover 110 - 300 Series.
Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790
Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni moja na nusu...
Habari
Kwa wale wenye viwanja lakini wanashindwa kuanza kujenga kwa kuhofu kuhusu gharama, au wanasikiliza maneno ya watu kuwa kujenga ni mpaka uwe na mil 100 nawapa trick za kuweza kumudu na...
Toyota Mark X | 2005
2wd | 2490cc
Other option--AW HID P-SEAT S-SWITCH
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BEI--12.7mil
∆kisaka [emoji338][emoji336]0715558258
Wadau nauza hii gari aina ya Noah.
Gari ipo Katika hali nzuri sana, haina tatizo lolote, tangu imenunuliwa imekuwepo tu nyumbani haijatumika sana.
Gari ipo Iringa mjini, muuzaji ni mm mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.