Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau jf,!? Naomba msaada: Ninahitaji frem (kubwa kiasi) ya biashara (duka la bidhaa mbalimbali - jumla na rejareja) eneo NJIA PANDA YA SAME...... Moshi - KilimaNjaro).... Eneo la...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Salaam., natafuta mwekezaji wa kuwekeza chochote atakachoona kinafaa kulingana na eneo lilivyo. Eneo lipo Tanga, Pangani karibu kabisa na beach, ni mita 100 kutoka baharini(mita za serikali na...
0 Reactions
7 Replies
953 Views
ORIGINAL EARPHONE SUPER BASS.........FREE DELIVERY AT MOSHI Katika maisha hakuna kitu kizuri kama kuuziwa kitu imara na original . Tumezoea kununua earphone kila mara kwasababu hatupati earphone...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama kuna mtu yoyote mwenye stock ya kutosha ya pamba na ufuta kuna wanunuzi. Nicheck whatsapp 0743432940 WARNING Usijaribu utapeli.
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Kinahitajika kiwanja chenye Hati miliki eneo Bunju beach,mbweni, Tegeta pasiwe na maji kutuama. Pawe panafikika ili hata ujenzi was biashara uwe na wateja.kikiwa karibu na barabara si mbaya...
1 Reactions
0 Replies
540 Views
Infinix Smart 2 Pro 5.5ins. HD+ Display 16GB Storage 2GB RAM Dual Sim. Dual LTE Android 8.1 13 + 2Mpx Dual cam. 8Mpx low-light selfie cam. Fingerprint security + Face Unlock Black color. Used one...
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Kichwa cha somo chahusika, kwa yeyote mwenye eneo lenye ukubwa kati ya sqm 700 hadi 1000, tunahitaji kuhamishia kiwanda chetu. Tutakodi eneo hilo. Mwenye nalo atujulishe. Karibuni PM
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari zenu wapenz, natumaini mko poa. naombeni mwenye kujua yanapouzwa mafuta ya mbegu za mawese, nahitaji kuwasiliana na muuzaji kama unauza au una rafiki yako anauza, nipm tuongee biashara. au...
1 Reactions
11 Replies
19K Views
Je wewe ni BLOGGER ama mdau wa elimu na una nia ya kuanzisha BLOG ama WEBSITE ya MASOMO YA SEKONDARI?? Jipatie full PACKAGE (content ) ya notes kuanzia KIDATO CHA KWANZA mpaka CHA SITA kwa ajili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ilikuwa ni mwaka 2000 mbele ya umati wa watu nchini Marekani; Ndugu John Lackey akishangiliwa baada ya kupewa TUZO (Reward for Best Project Management of a Utility Plant in the United State)...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamvi karibuni mniungeee mkono nakodisha mabasi kwa safari/ shughuli ( harusi,misiba,picknic,familytour,) zozote ndani na nje ya Tanzania Tuna Toyota coaster na Hino rainbow Ya abiria 28 na...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wadau habari zenu? Kwa wale wanaohitaji kupata barua za mwaliko"Invitation letter" kutoka nchi mbalimbali wanazotaka kutembelea,na wameshindwa kupata passport au VISA,basi wawasiliane nami ili...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
REG.T800CDT MODEL.HZB50 YOM: 2006 CC:4160 ENG:1HZ SEAT: 27 ROUTE: MBEZI- MSATA BEI: TZS 22,000,000
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Be known Be promoted. Kwa Mahitaji ya nyumba za kupanga, kununua, kuuza, viwanja n.k. Wasilina nasi TANGAZA MARKETING SOLUTIONS : Contact : 0785074040, 0767074040...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Lenovo L38011 Android 8.0 3GB RAM 32GB Internal + SD Card Dual Cameras Nyuma + Front Camera Fingerprint Brand New Unboxed Inakuja na cover la bureeee. Price: Negotiable
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza modem yenye kasi ya 4G unaweza kutumia laini yeyote ileeeeeee...... Simu no....0714265340 Napatikana Dar Yombo Dovya TMK Bei ni rahisi we nitafuteeee
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habarini wapendwa nauliza mwenye kioo cha samsung galaxy note 2 unaniuzia sh. ngapi changu kimepasuka japo kinafanya kazi ila nahitaji badili
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Gari ipo vzr Haina tatzo lolote...injini haijaguswa,,,haijarudiwa rang...njoo na fundi wako kagua gar lipia.. Ipo dsm mbagala. 0683775566
0 Reactions
7 Replies
844 Views
mashine za kufumia masweta zinauzwa ziko tatu pia zina hali nzuri kabisa sio za wizi ni mtu kapatwa shida ndio anaziuza zipo complete ziko mwanza kama kunaanaye hita ji ani pm tufanye biashara bei...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
hamjambo wakuu. mi kijana mdogo kati ya wadogo wote, natafuta mashine ya kukobolea mpunga ambayo ina kila kitu yaani rice paddy cleaner, destoner, separator, grading unit, etc.. yenye capacity ya...
0 Reactions
2 Replies
799 Views
Back
Top Bottom