Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Paper imeisha salama,ila haikua rahisi kivile. Muda nao ni changamoto, wengi wetu hatujamaliza maswali.
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Kwema jamani? Wale tuliobahatika kuitwa kwenye usaili wa hii nafasi karibuni tubadilishane uzoefu wa maswali mbalimbali ya written yanayoulizwa na utumishi kwa nafasi tajwa.
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Kama tittle ya thread inavojieleza, wale wote tunaotazamia kwenda kupambana kwenye interview ya mamlaka ya mapato Tanzania kwa kada za customs officer II na tax management officer II naomba...
2 Reactions
44 Replies
26K Views
Kwema wakuu? Kuuliza sio ujinga.hivi kati ya Tax management officer ii vs custom officer ii 1. Ipi ina mitihani ya mchujo migumu? 2. Ipi ni nzuri kufanyia kazi. 3. Kuna tofauti yoyote ya...
2 Reactions
99 Replies
18K Views
Habari wasaka ajira! Kuna tetesi ambao hazijathibishwa rasmi kuhusu kuitwa kwenye usahili wa mahojiano TRA!? Je ni kweli!? Tetesi zifuatazo bado hazijazibitishwa. 1. Kuwa wameita oral interview...
6 Reactions
79 Replies
9K Views
Ndugu zangu poleni sana kwa paper tulilopitia la Tax Managemeng officers II, bado tunaendelea kukosa ajira kwa kuteseka na mitihani, hongereni kwa wote mliojiandaa vyema. Mungu atubariki sote.
9 Reactions
70 Replies
9K Views
Job Title: Tax Management Officer II (206 Posts) Responsibilities To assist in the preparation of action plans. To conduct face vetting of tax returns. To conduct desk audit on simple cases and...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tax management officer ii nafasi 206 zaweza kuongezwa? Criteria zipi nje na ufaulu zinatumika kuwapata watumishi wapya baada ya kufanya oral?
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Watu wameitwa wengi mpaka inatia uvivu kwenda kuwenye interview yenyewe mfano tax management officer II wameitwa wagu elfu kumi na mbili mia mbili thelathini na tatu 12,233 hiyo ni post moja bado...
6 Reactions
89 Replies
15K Views
Position: English Teachers (O-Level) Subject and work station: English Literature & Kiswahili (O – Level) - Smith Campus, Usa River, Arusha English Literature (O – Level) - Sisia Campus...
2 Reactions
5 Replies
508 Views
Habari Wadau, Nakutana na changamoto ya usajili wa TIN number kwenye recruitment portal ya TRA, ambapo kila nikijaribu kuingiza number husika za TIN na kuzi-save, mfumo unaleta msg kwamba...
0 Reactions
6 Replies
595 Views
Vijana wenzangu, poleni na jua kali. Ni jambo jema kwetu sisi wasio na ajira kuona miradi ya kimkakati ikianza tena kufunguka. Kiukweli, hapo nyuma miradi mingi ilisimama ghafla. SGR Tabora -...
10 Reactions
18 Replies
623 Views
Kwa muda takribani wiki sasa, nimekuwa nikijaribu kutuma maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) bila mafanikio. Niwaombe Mamlaka watoke hadharani na kutoa tamko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer TRA, atusaidie.
1 Reactions
37 Replies
4K Views
📢 Internship Opportunity – FIRST PLUS LIMITED 📢 FIRST PLUS LIMITED is seeking a motivated intern to join our team and gain valuable hands-on experience. Qualifications: ✔ Diploma or Bachelor's...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Habari Wana JF Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha...
25 Reactions
103 Replies
3K Views
"Caregiver" ni mtu anayeshughulikia na kusaidia wale ambao hawawezi kufanya shughuli za kawaida za kila siku kwa sababu za afya, uzee, au ulemavu. Kazi za caregiver zinaweza kujumuisha: 1...
0 Reactions
4 Replies
225 Views
Habari Wakuu, Kiwanda Kipo Dodoma cha Alizeti kinahitaji wafanyakazi wa ndani ya Kiwanda wenye kujua ku operates Machine mbalimbali. 1. Boiler Operator 2. Refinery Operator 3. Oil Crusher...
3 Reactions
4 Replies
321 Views
Wakuu heri ya jumapili. Sijajua ni kuchanganyikiwa au vipi,kuna jamaa yangu kafunga safari kaenda huko kwao Magu kwa mganga ili tu awekwe sawa kwa ajili ya hizi kazi za tra zilizotangazwa majuzi...
10 Reactions
23 Replies
755 Views
Yaani badala ya kuajiri wao mama anagawa pesa simba na yanga tu, mimi nimesoma udsm degree ya petroleum engineering nimemaliza 2017 mpaka sasa sina ajira. Nina GPA ya 4.5 lakini naponda kokoto...
44 Reactions
177 Replies
12K Views
Back
Top Bottom