Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Kaeni mkao wa kula, kwa wale WAZALENDO na WAAMINIFU nafasi za KAZI PCCB na TISS (Usalama wa taifa) zinakuja
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wanajamii forum heshma zenu!!! naomba kuuliza PMGSS 6 NA PMGSS 10 ni kiasi gani??mwenye kujua anaweza kunijuza .....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu wa somo la kiswahili elimu yangu ni degree moja.natafuta shule ya kufundisha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nimeona nafasi za kazi nyingi za kampuni ya ASES zimetangazwa kwenye magazeti na mitandao mbali mbali. Ningependa ku-apply but before doing that nahitaji information ambazo nimezikosa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
An international company from Shengzen is looking for motivated candidates for sales and marketing positions...satisfactory salary will be offered to the successiful candidates! send your cv to...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Wanajamvi naomba mnishauri: nimekaa kijiji(home) kwa muda wa mwaka sasa baada ya kumaliza degree yangu ya Accountancy na kutafuta kazi pasipo mafanikio yoyote! Nimeamua kuja Dar kwa lengo la...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
KAZI COLA COLA
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Kinyume na kauli ya Waziri wa ujenzi Dr. Magufuli pamoja na Mtendaji mkuu wa Tanroads Eng. Mfugale, imebainika kuwa waliofukuzwa kazi Tanroads si watoto wa vigogo. Baadhi ya majina ya Weighbridge...
4 Reactions
66 Replies
12K Views
Habari zenu wakuu kuna mtu anataarifa juu nafasi tano za uhasibu nhif naskia wametoa hv karibuni tu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za humu ndani wadau?nimeona kuna baadhi ya nchi huwa kuna makampuni yanatoa mafunzo kwa waliomaliza degree(graduate training program) na huwa ni 2yrs au 1yr,je vipi kwa Tanzania ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SOTTA&PARTNERS CONSULTING LTD a market leader on Records Management Consulting and Training is organizing the "Records Managers' Day",if your a Records Manager/or working in any records...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu huku mitaa ya mtandaoni nimekutana na site mpya ambao nao wanaweka latest job posts kutoka kwenye magazeti. pia nimeipenda coz unaweza kujiwekea job alert ukawa unapata...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
wana jf naomba kujuzwa kama ni kwel hao jamaa wametangaza ajira hvi karibuni.asanten.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mimi ni kijana nliyemalimaza certificate in law mwaka 2010, lakini bado sijafanikiwa kupata ajira popote ..ninawaomba waungwana mnishauri hata pia mnaoweza kunisaidia nikapata ajira nitashukuru...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau... Nina rafiki yangu.. fani yake ni Udereva. Ni mzoefu wa muda mrefu. Ametumikia Kampuni ya Mabasi na sasa amechoka lawama za tajiri. Mnahitaji udereva safari maalum mf. Gari za kuplekwa...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Assistant Researcher Consolatha Consultants ( Tz ) LTD. Date Listed: Oct 8, 2012 Email Address: Click to Email Phone: +255 712 224 139 Area: Dar Es Salaam Application Deadline: Oct 30, 2012...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Naomba kujua mshahara wa mwalimu kuanzia ngaz ya cheti, diploma na degree ni kiasi gani? na kuna makato gani mpaka takehome
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Elimu yangu ni ya kid.cha 6,"PCB".Nina ujuzi wa computer kidogo kutumia program kama Ms-word,Ms-Excel na Internet and E-mai.Kazi yoyote ambayo naweza nikamechi nayo kulingana na elimu yangu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona tume ya ajira imetangaza usaili kuanzia tarehe 25 october, ingawa umebadilishwa na kusogezwa mbele kwa ajili ya kusherekea sikukuu ya Id ila sijajua ni kada zipi, ajira zilizotangazwa lini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuna dogo Langu lilimaliza Mwaka Jana Form 4,Nafikiria Kulitupa Huko! Mnaiona Iko Vipi Hii Wakuu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom