Jamani naomba mnisaidie kwa mtu anyejua mishahara ya hii kampuni inayozalisha pepsi, haswa legal office, hr manager na senior security officer. Ahsanteni wana jf
Kama tumefikia Hatua Hii nadhani tumevuka mpaka.
Nadhani Kuwa ipo siku mtu atatakiwa kutakiwa kupeleka vyeti vya D.N.A kwenye interview. this is invasion of Privacy.
Assistant Researcher Job in...
habari wanajavini kuna kampuni ya ukandarasi wa umeme,majengo yenye ofisi zake Dar-es-salaam lakini inafanya kazi kila mkoa inatemeana na kazi ilipo patikana inahitaji Accountant mwenye vigezo...
Mimi ni raia wa Tanzania nina umri wa miaka 24 nimemaliza chuo mwaka uu katika chuo cha elimu ya biashara (cbe) kiwango cha elimu diploma ya ict natafuta kazi ya yoyote ya it kama kuna mtu ana...
Wadau kazi za TANAPA vipi?, maana kuna walioitwa kwenye Interview Mwezi wa Nane, sasa kuna post nyingine tena walitangaza, kibao, na sasa zinaonyesha Closed Vaccancies kwenye website yao, Vipi...
Wana jf mi ni kijana wa kitanzania natafuta kazi kama vile: kuuza kwenye maduka ya jumla, hardware, supermarket na statiory.
Sifa zangu:
1. Nina umri wa miaka 25
2. Nimehitimu kidato cha6...
Baada ya ripoti kutolewa kuhusiana na mauaji ya mwandishi Mwangosi yaliyofanywa na Jeshi la Polisi huko Iringa Watanzania tumejifunza nini ?
Pamoja na hayo kwakuwa Mwangosi alikuwa mwandishi wa...
Wana JF leo nimepigiwa simu kuhudhuria semina Holiday inn ijumaa. waliwah kutoa kazi zamani sana nikawatumia CV tu. sikumbuki hata wana dili na vitu gani hawa jamaa. tafadhali kama kuna mtu...
PWC wamenipigia simu wakiniarifu kuhudhuria graduate recruitment itakayofanyika siku ya ijumaa saa 8.00 mchana holliday inn hotel.Wana jf mwenye dondoo zozote za hawa PWC azianike.
Wana JF naomba msaada wenu,hivi kwenye usaili wa kazi ukiulizwa "unataka tukulipe mshahara kiasi gani?". kwa hapo jibu zuri ni lipi?, labda kutaja mshahara wa juu sana au inakuwaje ili ufaulu...
hellw waungwana ,samahan ninaomba kufahamishwa kuhusu hili swala.mimi nikijana nliyemaliza certificate in law chuo cha mzumbe nlitegemea kuendlea nadiploma lakn ikashndikana kutokana nakukosa...
natafuta kaz yeyote inayoendana na field yangu nina degree ya sociology. kwa yeyote mwenye kujua wap naeza pata pa kujshkiza hasa mikoa ya kaskazin anijulishe tafadhali
ARUSHA!! ARUSHA! ARUSHA!
Are you a woman who's hungry for SUCCESS? who's tired of leaving paycheck to paycheck? LOOKING for something Extra to generate Multiple Streams of Income?
Then...
kwa heshma wanasalimu wote wana jf
update zilizonifikia hapa punde soon watu wataitwa kwa interview ila applicants ni wengi sana . kwa hali ilivyo bora watu tufikiria outsides ths box for rilly...
Anahitajika ASSISTANT RESEACHER mwenye sifa zifuatazo :
1. Awe wa jinsia ya KIKE mwenye umri wa miaka 20 hadi 45.
2. Elimu Ya Kidato Cha Sita na kuendelea.
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.