Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Kuna mradi ya kusaga,kukoboa, kupaki na kuuza nafaka utaanza mwezi september mwanzoni, anahitajika meneja mwenye uzoefu na kazi hiyo, kazi itakua hapa Dar es salaam. Pia anahitajika mtu mwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman nimetafuta kazi za IT nimekosa lakini ni muitimu wa Bsc Comp science UDSM,naweza fundisha masomo hayo na comp application kwa mtu anayejua wapi naweza pata kazi ya uwalimu pls ni PM.
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Ninahitaji kumuajiri House Girl wa umri wa kati ya miaka 15 hadi 25, ambaye hana mume wala mtoto, na pia asiwe na mashetani/majini. Kituo cha kazi ni Dar es Salaam, na malipo tutakubaliana na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wadau kwa kampuni au ofisi inayohitaji dereva mzoefu, ana cheti cha NIT,uzoefu magari makubwa na madogo.Atumie namba hii kwa mawasiliano zaidi.0659132664.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inapatikana ARUSHA MJINI maeneo ya DARAJA 2 ni self contained,ina MAJI,UMEME PIA INA jiko.Bei ni maelewano.Mawasiliano 0786164042
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The United Republic of Tanzania President’s Office TANZANIA SOCIAL ACTION FUND EMPLOYMENT OPPORTUNITIES FOR TASAF III ADVERTISEMENT OF THE VACANT POSITIONS The United Republic of Tanzania has...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
2Saidiane jaman kwa wale ambao maofic yao wanapokea watu wa field, mana binafc nimeangaika mpka.., na likizo ndo inaisha ivyo..
0 Reactions
41 Replies
5K Views
vp tuliofanya manager's interview, wapo walioitwa patners wapo walioambiwa wamekosa mbona ss wentuajaambiwa ki2? kuna m2 mwingine ambaye hajajibiwa jamani?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar za kazi wapendwa?Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu bachelor of education ktk arts subjects nataman kufanya kazi kwa kutumia elimu yangu hii ila sio kufundisha je inawezekana na ni kazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NDGU wadau particulary job seekers, kwa habari nlizo zpata hv pnde ni kwamba tume ya sensa imekaribisha maombi kwa walio na kaz na wasio na kaz so ka vp tujarbu bahat zetu
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Host your website with us and GET FREE DOMAIN! .com, .net, .org,.mobi, .info. 7500 Free Website Templates(joomla,css,wordpress) Tsh 50,000/= Contact: Arusha complex city 3rd Floor, Room no 21...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Heloo wanajamvi, natafuta kazi za video editing na motion graphics designing, natumia 3ds max na After effect, nadisign logo na kufanya graphics za uhakika. twaweza kuwasiliana kwa email...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Find thea attached plz
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamani naomba kujuzwa kuwa sheria yetu ya ajira inazungumzia je kuhusu Freelance Contract
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wanajamvi tunaomba msaada. Kuna jamaa yangu anahisi kudhurumiwa kwani aliingia mkataba na kampuni fulani ya utafiti akapewa mkataba wa miezi sita akawaanalipwa mshahara na posho ya kuwa nje ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu alifanya usaili, sasa jana kaambiwa na mtu anayedai anafanya kazi kwa hiyo ofisi kwamba inabidi atoe hela kwanza ili aweze kupewa hiyo ajira. Huyo mtu inaonekana amepata details...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Host your website with us and GET FREE DOMAIN! .com, .net, .org,.mobi, .info. 7500 Free Website Templates(joomla,css,wordpress) Tsh 50,000/= ($32) per year Contact: Arusha complex city 3rd...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mwenye taarifa,juu ya short list kwa walio fanya application za afisa tarafa na WEO :baby:since may up to date.
0 Reactions
25 Replies
7K Views
hv advance diploma in acountancy si ni equivalent to course nyingne za degree za acountancy au? Asa inakuwaje kaz inatangazw a af wanasema advanc dplm wl nt b acepted!
0 Reactions
4 Replies
935 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…