Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Kampuni mpya ya Ulinzi, Usalama na Inteligensia inakaribisha maombi ya watu wachache wenye sifa zifuatazo: 1. Jinsia: Kiume na Kike 2. Umri: Miaka kati ya 20 na 35 3. Elimu: Kuanzia Form IV na...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wanajf,natafuta kazi.Nina Bcom-hons,CPA(T) pia experiance ya miaka 2 na international bank.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SIFA 1.Awe na leseni ya class C 2.Awe ana park maeneo ya posta au Ubungo terminal 3.Alete hesabu kwa wiki sh laki 1 4.umri kuanzia miaka 35 to 60 5.Nitapendelea awe anaishi mitaa ya tabata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, Juzi jumatatu nimetumiwa sms ikinielekeza nikacheki kwenye email yangu kuna mail nimetumiwa inayohusu maelekezo ya ajira katika kampuni ya GBM (GLOBAL BUSNESS MACHINE) niliingia kwenye...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu, Fursa Nyingine za Kazi.Tutumie Jukwaa Hili kuendelea kupashana habari kama hizi nzuri nzuri. Nawasilisha
1 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani natafuta soko la asali wa nyuki wadogo kutoka tabora, bei ni maelewano. mimi nipo arusha kwa anaejua tujuzane jaman
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi, i am a job seek and would like to share with u on this
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau kwa wale tuliapply hii post ,jamaa wameshapigiwa simu kwa waliofanikiwa,kama bado basi tumekuwa unsucessfull,interview wanafanya jumatatu ila tusihofu kwa tuliokosa kama ipo ipo tu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele! Mimi ni kijana ambaye nimehitimu elimu ya chuo cbe dodoma. Nimeona nije kuomba ushauri au mbinu mbadala ya kuweza kupata ajira japo sina experience. Wakuu ni muda sasa toka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
I have a 27 yearz old cousin with an Advanced Diploma in Accounts (ADA), Post Graduate Diploma in Financial Management (PGDFM) and a Masters of Science in Finance (Msc-fin) fresh from school with...
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Jamani kwa watu wenye uzoefu wa miaka miwili hadi mitatu kwenye E-banking wanitumie P.M ili tuwasiliane.
5 Reactions
75 Replies
7K Views
jamani kwa wale wenzangu na mimi mnaosubiria ajira za jeshi,nimepigiwa simu niende makao makuu ya wizara ya ulinzi kuwa nimechaguliwa kujiunga na jeshi kambi ya kigoma na niandikapo thread hii...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
kwa madu yeyote mwenye feedback ya zile kazi za DFID anijuze maana nipo kwenye mfungo hata walau interview tuelezeni tu kama kuna fununu mmesikia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
leo nimerudisha ile form ya kuomba kazi ya sensa.daaah!!!nilicho kikuta huko,yani watu ambao tayari wana ajira zao nao eti wamepeleka maombi yao.jamani si mtuachie hata na sisi ambao hatuna job...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nafasi za kazi TaCRI, African Barrick Gold, TPA, Benjamin Mkapa HIV Foundation etc: BWM HIV FOUNDATION 1.HEALTH SERVICES DELIVERY PROGRAM MANAGER 2. HEAD -RESOURCE MOBILIZATION Tanzania Ports...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
katika hali ya kushangaza unapita ktk kampuni fulani kwa malengo ya kutafuta kaz,ila shida inakuja kwa wadada wa reception.anakuambia hapa kazi hakuna na huwa hatuajili.sasa cjui yeye kafikaje...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
kwa wale wataalam wa cm,ninacm yangu aina sonyericson w705 imekataa kufungua internet,kila nikiiseti inaniandikia niwacliane na servc provide! Help pls.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sifa:- 1) Awe na ujuzi wa kutosha husiopungua miaka 2 2) Awe mtaratibu na mwaminifu 3) Awe na uwezo wa kunyoa nywele aina zote yahani za kiafrika, Kihindi, Kizungu, kisomali nk 4) Awe anakaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Tafadhari naombeni kwa anayejuwa ni wapi au kampuni ipi wanahitaji mtafsiri wa lugha ya kiitaliano, mimi ni mzungumzaji na mwandishi mzuri katika lugha hiyo. naomba kuwasilisha
0 Reactions
19 Replies
3K Views
WAUNGWANA HABARI ZA ASUBUHI nina andika habari hii huku nikiwa na machungu kabisa kwani na mimi ni muhanga wa haya matatizo ya tume ya ajira. nakumbuka mwaka jana tulipofanya intavyuu ya NAO (...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom