Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Anayefahamu kuhusu malipo ya Bank teller aliyeajiriwa na NMB anijuze
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanahitajika haraka wenye fani za Hotel,Chef nafasi 1 na Receptionist nafasi 1.Hotel ipo Dar es salaam maeneo ya Posta,kwa mawasiliano piga namba 0713-166237 au 0753-607205.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi guys, mambo niaje. Mkisikia kazi inahitaji lawyer plz mnitel!!
0 Reactions
1 Replies
942 Views
jamani saidieni katika hili hivi ni nini hasa kinafanyika katika psychometric test, wana jamii embu tujuzane katika nyanja hii.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Natafuta kazi Pharmaceutical Technitian nina uzoefu wa miaka si chini ya 10. Kazi iwe Arusha au Dar-es-salaam.PM me please
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii itakuwa ni thread ya 4 naweka hapa kwa ajili ya Masuala ya kazi. Mara ya kwanza niliomba kufanya kazi ya Utangazaji japo nilisema sijausomea popote pale,ila nina kipaji na najiamini kwa hilo...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari wana jf, Jana nimepata email toka pwc inayohusu assessment test ambayo inatakiwa iwe completed on friday,nimepewa username na password!!So,nataka kujua hiyo assessment test...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana-JF! Natanguliza heshima mbele. Ndugu zangu, wengi wetu huwa tunategemea kupata taarifa kupitia mtandao huu wa kijamii kutokana na umaarufu na uhakika wa taarifa zinazowekwa hapa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
mimi ni mwajiriwa mpya idara ya kilimo wilaya ya chato. NINA MASWALI: 1) fedha ya kujikim kwa graduate ni ngapi na kwa sku ngapi. 2) ni kilometa ngapi toka mbozi -mbeya hadi chato- geita. 3) ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau,hizi nafasi walizotangaza TRA kuna habari zozote mpya?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kunachaka moja linahitaji accountant, sifa awe anafahamu IT kidogo kama kuinstall window, antivirus update nk. Anatakiwa awe mwanza na kituo cha kazi ni mwana so alie tayari ani pm. mshara ni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa jamani jamani kwa mtu anayefahamu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello JF members,I'm graduate teacher holding BA(Ed) from UDSM.I seek any jobs in private organisations.
0 Reactions
0 Replies
983 Views
In view of the further development of its activities the BTC is currently looking for a (m/f): International expert in Natural Resources Management - Project co-manager TANZANIA For the project...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
vp wadau kuna tetesi kwamba care international hawajaita watu interview bado kwenye zile nafasi za tabora.........nauliza kama ni kweli au walishaita
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Taarifa kutoka chanzo changu cha ndani kbs.Kimesema mpaka sasa wanazifanyia kazi barua elf 5 za maombi ya kazi. Nafasi 40 waliomba 5000.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wadau wa jf,mi ni form six leaver(PCB subjects) natafuta kibarua kwa kipindi hiki kabla ya post za vyuoni niko morogoro town
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini,atlast nimeitwa kwenye interview kwenye kampun fulani ambayo niliona tangazo hapahapa jf,,lakn kwenye maelezo yako walisema mtu awe na xpirience ya negotion skills na use of...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti,elimu kidato cha nne 0783 215 450
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Coasco walitangaza kazi Mwezi march katikati lakini mpaka leo sijapata habri yotote.Mwenye taarifa na hili kama wameshaita au la.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom