Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Jaman, mtu anayedeal na kutengeneza business cards naomba anipm haraka. Ubora wa kazi na unafuu wa bei unazingatiwa!
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nime gusiwa habari za uhakika kwamba UN Mission ya South Sudan (UNMISS) inaanza kutangaza jobs za UNV kwenye fani tofauti tofauti ikiwemo IT, Engineering, Transport, administration, n.k. The...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
wadau AccessBank wanalipaje ma loan officer?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wadau! nawaombeni kwa mtu yeyote anaefahamu sehemu zenye nafasi za kazi za Migodini naombeni mnijuze manake nisha-fight lakini hali bado ni tete! nina DIPLOMA IN MINING ENGINEERING...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu,mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya ualimu SHAHADA,BA.Ed mwaka jana.february mwaka huu nikapangwa katika ajira ila nimechelewa nikaripoti april,nimeambiwa hakuna pesa za...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau naulizia kwa wenye uzoefu na Access bank,interview ya kwanza huwa inakueje(oral au written) coz wame n sms niende kufanya interview,na je kama ni written huwa ni maswali gani?,au ndo general...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
TOTOLUCK na ZOOM nitagulize kutoa shukrani kwa juhudi mnazofanya kuleta matangazo ya kazi. pamoja na hilo nina hojaifuatayo: TOTOLUCK na ZOOM yako mnalostisha waombaji. hebu elekeza namna gani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/B/78 30 Aprili, 2012 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Sekretariati ya Ajira katika...
2 Reactions
1 Replies
12K Views
katika harakati za kutafuta kazi nilikutana na rafiki yangu ambaye tulisoma naye shule moja olevel,akaamua kunipigia pande kwa jamaa mmoja benki!! nikaambiwa nipelekee cv haraka,kweli siku ya j3...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Wadau, Changamkieni hii position kwa wale wanaoqualify. Muhimu kuzingatia highlight kwenye expirience. Hiyo ndio criterai yao kubwa. Nawatakia applications njema. Caren. POSITIONS ADVERTISEMENT...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 29, nina Advanced Diploma in Accountancy toka IFM yenye GPA ya 4.2, nina CPA na MBA. Ninapenda sana kufundisha vyuo lakini nimekuwa nikikutana na ugumu kutokana na kuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilifanya usaili na hawa jamaa wanaojiita erolink,baada ya kumaliza taratibu zote wananiambia kwamba wao ero link ndio watakao niajiri,halafu duty station yangu itakua kwenye hiyo kampuni husika...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Description Teachers have described the teaching environment at Iringa International School as ideal. Classes are small and students are serious about learning. They and their parents consider the...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wadau mwenye chanzo chochote cha kazi asaidie.ahsanteni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SIFA: LAZIMA UWE UMESOMA DIPLOMA/ DEGREE YA ELIMU CHUO CHOCHOTE KINACHOTAMBULIWA NA SERIKALI NA KUFAULU KWA MASOMA YA CHEMISTRY NA PHYSICS.SHULE WILAYANI KISARAWE NA USAFIRI UKO KILA SIKU YA KAZI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KAMA UNA DIPLOMA YA UALIMU AU GRADUATE YA CHEMISTRY NA PHYSICS NIPIGIE NIKUPE KAZI NA MSAHARA NI MAELEWANO. KWA MAWASILIANO PIGA 0713007977/ 0786 007977. AU SENDI YOUR CV TO...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Halloo wana JF mimi ni kijana muhtimu wa kidato cha nne na nilifanikiwa kupata four ya 33 nikiwa na D mbili ya biology na chemistry, cnauwezo wa kujiendeleza kutokana na ugumu wa maisha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nafasi za ajira katika Mwalimu Nyerere Memorial Academy - Kivukoni DSM na Bububu ZNZ. Changamkia
1 Reactions
0 Replies
10K Views
wakuu kuna nafasi ilitangazwa ya Legal officer na Mamlaka ya maji Tabora vipi mchakato wake uliishia wapi. Mwenye kujua naomba atujuze
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete Waandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete ameshindwa kutangaza hadharani kima cha chini cha mshahara cha Sh315,000 kwa mwezi kilichoombwa kwa mara nyingine na Shirikisho la Chama cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom