Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Mimi nimeajiriwa Arusha toka Dar,katika taratibu natakiwa nilipwe fedha ili nilete familia yangu ktk kituo changu cha kazi. menejimenti inasema nitafute bei ya kusafirisha mizigo yangu tani 1.5...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TANGAZO LA AJIRA Jeshi la Polisi liko katika mchakato wa kuajiri vijana kujiunga na Jeshi kupitia mashuleni. Tumeamua kuurudia utaratibu ambao ulikuwepo zamani wa kuajiri moja kwa moja toka...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Natafuta Kazi -Arusha Mimi ni mgeni katika jukwaa hili, naombeni msaada wenu nipo Arusha na nina tafuta kazi hata kwa mtu binafsi nitafanya si lazima serikalini.Professional yangu ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mimi ni mtunzi mzuri wa hadithi. Natafuta m2 wa kunisupport.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Jamanai wa Tanzania mnaoweza changamkeni, grants hizo hapo African Peacebuilding Network Research Grants Waambie na wenzio wanaoweza kuomba waombe.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Majina ya walioitwa kwa ajiri ya interview kwa fani mbalimbali yamechapishwa katika gazeti la daily news la leo kwa wale walioomba litafteni gazeti hilo
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Job- Selling of Computer items and IT related products and electronics. Packing- Commission basis on sales. No salary applicable. Qualification Required- Should be able to talk passionately...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta kazi ndugu wanajamii ....... graduate in Tourism business management please mwenye nafasi anisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi Dentist,nina ka degree kamoja na pia nina mwaka mmoja kazini nipo Arusha private hospital.Natamani sana kuingia jeshini lakini sijajua mshahara wa captain wa kuanzia ni tsh ngapi? Na pia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye NGO'S, company, Industry na mwenye uhitaji wa fani kama hii nipo tayari kwa muda wowote nitakao hitajika. Utalaamu wangu ni kama ifuatavyo; computer application:- Microsoft...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Operating from Arusha, Tanzania a fast growing audit and accounting firm has one vacant for assistant tax consultant. His/her roles will be handling tax affairs of various clients and doing audits...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie wafanyakazi wa ndani wawili. Wa kwanza aweze kuongea kiingereza, atakua na kazi ya kumlea mtoto tu. Ataishi humo humo. Awe mdada, kama ana...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Accounting-Costing An East African Based Company Date Listed: May 7, 2012 Phone: No Calls Please Area: Dar Es Salaam Application...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
I'm very glad for jammiiforums members to said that shortly required the post above having experience in the field as contractor or consultant firm for a minimum of 5yrs consecutively in the busy...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi wana jf. Hivi kwenye interview ni bora ukawa wa kwanza kufanyika au wa mwisho na kwanini? I mean (faida ziko upande upi)
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jana niliona kwenye ITV habari za saa kwamba kuna kikundi cha profesition wasio na kazi (GPD) jamani tunijiunge na kundi hili,mwenye taarifa wapo wapi atoe habari.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
TANGAZO LA KAZI HARAKA SANA. TANURI MEDIA CAMPANY Inawatangazia nafasi za kazi kwa vijana watanzania (Jinsia zote) na wenye elimu, sifa na Ujuzi na wenye kujituma. Vijana hawa watafanya kazi...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
wana JF wenzangu naombeni kuuliza mimi ninadiploma ya journalism je ninaweza nikapata kazi kwenye makampun ya mawasiliano kama airtel, voda, tigo...... na jinsi gani ninaweza kupata naombeni...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Hello wakuu, Naomba mnichambulie kwa kina katika hili, kati ya kujiajiri na kuajiriwa katika mazingira yetu ya kitanzania bora lipi?? Natanguliza shukurani zangu wakubwa.
0 Reactions
57 Replies
13K Views
Mimi ninakipaji cha kuchora, ila sina vifaa. Na pia uwezo wa kufanya kazi zikawa nzuri na za kuvutia bado ni mdogo, kutokana na kutojishuhulisha mara kwa mara na kazi hii. Nina marafiki zangu wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom