Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

....wanajamvi hivi hizi post zilizotolewa na wizara ya kilimo mwezi november 2011 bado hawatoa shortlist? mwenye kujua au aliye na fununu atudokezee..asanteni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Je Muhimbili wametoa matokeo ya interview ya mwezi uliopita kwa nafasi za ugavi na uhasibu?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu najua hili ni jungu kuu nitapata ufafanuzi juu ya hili Nina mtoto wa shangazi yangu amesomea mambo ya udereva na baada ya kumaliza akafanya mitihani na kisha akapata new driving licence...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna ukweli wowote hapo kwenye picha?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I am Tanzanian currently base in England, looking for an IT support position in East Africa especially in Tanzania. My Educational background includes:- · BSc Computing · HND in...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sales and Marketing Manager WomenCraft - Dar Es Salaam Pastoralist Program Training and Learning Coordinator Tanzania Natural Resource Forum -Arusha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye taarifa zozote kuhusu Hapo,nataka kujua.Thanks
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Angalizo: Mods kwa hekima mnaombwa msiiamishe thread hii wala kuichanganya na nyingine yoyote. Wanajamii; Wana JF Mwaka 2010 tulifanya mchakato wa kumpata JF Man & Woman of The Year 2010...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mambo? jaman hivi kweli nafasi za uhakimu zimetoka? nmeskia kwa daladala watu wanaongea ila nimetafuta kwenye magazet sijaona, je ni kwel zimetoka na gazeti gan labla limetoa?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hawa jamaa walitangaza kazi,miezi miwili imepita sasa wapo kimya au ndio; Only short listed candidates will be contacted
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni takribani wiki mbili sasa tangu tufanye interview ya kwanza na CRDB Bank upande wa Microfinance pale CRDB BANK HOUSE-MIKOCHENI INDUSTRIAL AREA kwa post ya Relationship Manager-Microfinance na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jamani Wana JF, hebu nisaidieni nina kamtaji kangu kadogo nataka niwekeze katka maeneo hayo. Wenye uzoefu nisaidieni nifanyeje? Nataka niweke chips/mayai, mishkaki, kuku, kongoro, nyama choma.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
WZZUB- The Power of "We" log in at http://signup.wazzub.info/?lrRef=b688c446 halafu tushirikishe ulichogundua tafadhali, fuatilia ucwe mvivu,uckate tamaa, it may work for you perhaps, best of...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni job seeker lkn nipo kijijini nalima mpunga hivyo mara nyingi simu yangu inakuwa mbali maana mazingira ya kaz ni maji tu hivyo naogopa kuilowanisha simu. Jana nilipigiwa simu mchana na...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Hawa jamaa bado hawajatoa shortlist au ndo ile ONLY SUCCESSIFUL CANDIDATE WILL BE CONTACTED.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mi ni kijana wa kiume natafuta sana kazi maisha magum huku mtaani. Nina digrii ya UHASIBU pia ujuzi wa computer eg MS word,excel,power point,database na email and internet. Nafaham pia...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
natumain wanajf Mungu amewaamsha salama mimi nina form six qualification na insurance certificate of ifm bada ya hapo ckuweza kuendelea tena mwaka 2008. cjafanya kazi sehemu yoyote sijui Kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta tempo ya kufundisha sekondari kuanzia form one hadi six, nafundisha masomo ya civ, geography na general studies. nina uzoefu wa miaka minne na ushei. nicall ktk 0714-408238. sina bei kubwa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jamani wakuu kuna aliyeitwa kwenye interview tanapa atuabarishe tusije tukawa tunasubiria kuitwa kumbe vimemo vilishapita. Mbarikiwe
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Naitwa Florence B. Ndibalema wa chuo kikuu cha Dar es Salaam natafuta sehemu ya kufanyia field yangu mnamo mwezi wa sita tar 25 hadi mwezi wa nane tar 17 hivyo kwa yeyote mwenye msaada wa kunipa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom